Jimmy_Msukuma
Senior Member
- Nov 1, 2018
- 153
- 181
KWAHIYO KAMA HAKINA MADHARA NDO WANAENDELEA KULALIA AC NA VITI VYA KUZUNGUKA SIO?Wameshatoa tamko, ni kimondo asteroids, hakina madhara kwa wananchi
KWAHIYO KAMA HAKINA MADHARA NDO WANAENDELEA KULALIA AC NA VITI VYA KUZUNGUKA SIO?Wameshatoa tamko, ni kimondo asteroids, hakina madhara kwa wananchi
NASEMA HIVI...CHATO IMEKUFA, SASA NI HAPO MAGOGONI.Hahahahahah!!! mnataka kupasua magogo?
Wameshindwa kuazima kwa Wanene Studios na Hanscana wakafanya msako Kagera yoteLI NCHI LIKUBWA HAMNA HATA DRONES HAPO IDARANI...KAZI KUTEKA TU NA KUFICHA WATU OSTERBAY.
CMM mwisho wake 2020...omba tu Mungu uwe hai uje ushuhudie.Wameshindwa kuazima kwa Wanene Studios na Hanscana wakafanya msako Kagera yote
Na me nauliza hivi mnataka kupasua magogo au mnataka kuni magogoni?NASEMA HIVI...CHATO IMEKUFA, SASA NI HAPO MAGOGONI.
kuni moto huisha zikiisha,....tunataka mkaa,.Na me nauliza hivi mnataka kupasua magogo au mnataka kuni magogoni?
Hiki kisichojulikana kumepita/kuanguka juzi sijui hiyo boti ni lini?Nje ya Mada
Kudondoka kwa hicho kimondo kina uhusiana na ajali ya boti huko ziwa Victoria?
Nyie watu nyie msichome misitu, miti huleta mvua. Uchomaji mkaa utatusababishia janga la ukame, ohoo shauriyenu. Fanyeni ima mjue kilicho poromoka mtoe taarifakuni moto huisha zikiisha,....tunataka mkaa,.
Hiki kisichojulikana kumepita/kuanguka juzi sijui hiyo boti ni lini?
hahahaaaa ila ukiibiwa sa 8 hawawezi kujua...... wabongo kwa umbeya hawajambo!Hilo ni ngumu kujua,lakini ukigegeda hata saa 8 usiku watu watajua
intelijensia ya jeshi retu ra porisi haijaweza kugundua?Mkuu wa Mkoa alisema kama kuna mtu alisikia au kuona tukio kwa ukaribu zaidi awape taarifa ili wajiolojia wapate pa kuanzia.
Hicho ni kitu kisichojulikana hakitajulikana, tufahamu tu kuwa kuna muungurumo mkubwa na mwanga mkali usioleleweka ulitokea Kagera basi.
Wajiologia wenyewe wanawauliza wananchi ni kitu gani wananchi nao wanawaliza kilikua ni nini.
Yawezakuwa maana hata tetemeko lilionesha ishara kabla ila hawakujua lilivyorudi la pili baada ya siku moja nilikuwa nimefahamu kwa msaada Swiss AstronautNdani ya siku hizo hizo ,ila sidhani km kuna mahusiano,nimeuliza tu
Haifanyikazi kwa vitu vya ajabu ajabu visivyoeleweka. Intelijensia ya gesi retu rinataka vitu laini laini kama maandamano hivi au kama mkutano utafaniyika wanaona furogo furugo mbele hapo hatari tupu.intelijensia ya jeshi retu ra porisi haijaweza kugundua?
tanzania bado tunaishi kwenye ujima!Kwani wameshaona kilipodondokea hicho chombo hadi wakakipime kujua ni nini? Hakuna hata mabaki wala eneo husika halijajulikana.
Kungekuwa na chopa za kupiga aerial photography na survey wangeweza kupata pa kuanzia. Hii kutafuta manual kwa kuulizia kwa watu itachukua muda.
hahahaaaaaa mwanga huyoKuna siku Arusha nilikuwa nakatiza mida kama saa saba ama nae usiku . Hilo eneo ni majarubani. Yani giza nene kichiz hamna hata mwanga. Nilibanwa na mkojo nikakojoa nikaenda zangu ghetto. Ila kesho yake naenda kibaruani nikapishana bibi mmoja wa kinyiramba namfaham nikamsalimia na kuniuliza usiku wa jana mbona ulikuwa unakojoa pale tena nakunitajia sehem
Kweli sisi bado sana, yani mpaka sasa hakuna taasisi yeyote au msemaji wa taasisi yeyote inayohusika na mambo ya geology au ulinzi au mambo ya anga au majanga ambaye ameweza thibitisha ni kitu gani kimetokea Kagera na kusababisha kishindo na ule mwanga ulioonekana angani.
Nasikia tu wanasema kama kuna mwananchi au wananchi waliokuwa karibu wajitokeze waseme nini kilichotokea.
Ndiyo maana waka MV Bukoba inazama Waingereza walitangulia kupata taarifa kabla vyombo vyetu hata havijapata taarifa ikabidi wavipatie taarifa.
Soma > Kagera: Kimondo chadondoka Bukoba
itakuwa tyre burst tu!!!! watanzania huwajui??huu mji wa dar watu walijazana buguruni wiki eti mtu kageuka chatu na mpaka leo hata nyumba ya hilo tukio haijulikaniYalikuwa majilio ya Senene.