Smiling killer
JF-Expert Member
- May 1, 2018
- 1,291
- 1,121
Waambie jinsi ya kuiba kura dk 0 tu
Ndio maana nchi zetu haziendelei.Hilo ni ngumu kujua,lakini ukigegeda hata saa 8 usiku watu watajua
Baada ya kuzoea kushambulia wengine kwa kutumia wasiojulikana yamkini sasa ni zamu yao kushambuliwa na wasiojulikana wanaotumia visivyojulikana.Ila tunaambiwa nchi iko salama kabisa, kwamba raia tusiwe na wasiwasi.
This is Tanzania.
Baada ya kuzoea kushambulia wengine kwa kutumia wasiojulikana yamkini sasa ni zamu yao kushambuliwa na wasiojulikana wanaotumia visivyojulikana.
Kweli kabisaHilo ni ngumu kujua,lakini ukigegeda hata saa 8 usiku watu watajua
Usikute alianguka jiweKweli sisi bado sana, yani mpaka sasa hakuna taasisi yeyote au msemaji wa taasisi yeyote inayohusika na mambo ya geology au ulinzi au mambo ya anga au majanga ambaye ameweza thibitisha ni kitu gani kimetokea Kagera na kusababisha kishindo na ule mwanga ulioonekana angani.
Nasikia tu wanasema kama kuna mwananchi au wananchi waliokuwa karibu wajitokeze waseme nini kilichotokea.
Ndiyo maana waka MV Bukoba inazama Waingereza walitangulia kupata taarifa kabla vyombo vyetu hata havijapata taarifa ikabidi wavipatie taarifa.
Soma > Kagera: Kimondo chadondoka Bukoba
Wataalamu wa Jeologia kama ni Kimondo kweli hawana msaada hapo, labda kama wanataka kujifunza zaidi, wataalamu wanaotakiwa kulitolea maelezo hili ni kutoka fani ya Astronomy,labda tuwaulize UDSM kama wapo. Hii ni fani inayotawaliwa zaidi na warusi na wamarekani. Kinachoweza kufanyika ni kuwasilina na balozi za nchi hizo mbili ili kwa msaada wa kile kituo cha kimataifa cha angani "ISS" waweze kuangazia anga yetu, aidha kurejea historia ya matukio katika anga yetu ili kubaini kitu kisicho cha kawaida kilichoingia kwenye anga yetu.Si pana Idara ya Jiolojia pale UDSM? Wanashindwaje kuchukua sample ya hicho kitu, kukifanyia uchunguzi, na kutoa majibu kwa wananchi? Anyway, isije ikawa mabaki ya madude ya Kim yalikosea njia! Ee Mola wetu tunusuru!
Huu ndio wakati wa kufikiria kuweka angani satilaiti yetu itakayoangazia anga yetu na kufuatilia mwenendo wa hali ya hewa. Ikiwa Nigeria walifanikiwa kuwa na yao, bila shaka na sisi tunaweza.Hata wataalam wetu wa hali ya hewa wanaiba data za weather focust kwa kuangalia CNN na BBC
Hahahambona mnaongea bila picha??mna akili kweli ninyi??!
Ni sawa na daktari kumuuliza mgonjwa" nikupe dawa gani"?Mkuu wa Mkoa alisema kama kuna mtu alisikia au kuona tukio kwa ukaribu zaidi awape taarifa ili wajiolojia wapate pa kuanzia.
Hicho ni kitu kisichojulikana hakitajulikana, tufahamu tu kuwa kuna muungurumo mkubwa na mwanga mkali usioleleweka ulitokea Kagera basi.
Wajiologia wenyewe wanawauliza wananchi ni kitu gani wananchi nao wanawaliza kilikua ni nini.
Exactly, it seems the kimondo had employed a stealth technologyI think so hahaha
Yaani hicho kimondo ni kama stealth
Ujue Kagera ndio mkoa pekee we radar ya jeshi kubwa na inapatikana hapo BukobaBila kuwa na satellite kwa ajili ya kulinda anga ni ngumu kujua na kibongo bongo nadhan bado hatujafkia hatua hiyo ya kuwa na satellite kwa ajili ya ulinzi wa anga mana ingekwepo wangetrack iyo kitu tokea ikiwa mbali
Atakayejitokeza kusema alichokiona au kusikia wanamkamata na kumuweka ndani.
UNADHANI HATUJUI? TUNAWACHORA TU... MUDA SI MCHACHE KINANGUKIA MAGOGOGNI....Mkuu wa Mkoa alisema kama kuna mtu alisikia au kuona tukio kwa ukaribu zaidi awape taarifa ili wajiolojia wapate pa kuanzia.
Hicho ni kitu kisichojulikana hakitajulikana, tufahamu tu kuwa kuna muungurumo mkubwa na mwanga mkali usioleleweka ulitokea Kagera basi.
Wajiologia wenyewe wanawauliza wananchi ni kitu gani wananchi nao wanawaliza kilikua ni nini.
Hahahahahah!!! mnataka kupasua magogo?UNADHANI HATUJUI? TUNAWACHORA TU... MUDA SI MCHACHE KINANGUKIA MAGOGOGNI....