Kibwana Mruguru
Senior Member
- Aug 8, 2018
- 102
- 74
Wambie wakaangalie kwenye Setelite itawaonesha kilichotokea
Kimeonekana wapi??Wameshatoa tamko, ni kimondo asteroids, hakina madhara kwa wananchi
Usikute alianguka jiwe
Huo muda wa kupoteza hawanaWambie wakaangalie kwenye Setelite itawaonesha kilichotokea
Duh umenikumbusha mbali Sana "Niende buguruni nikanunue viatu, naona ajabu mtu kugeuka chatu" songi hilo !!!itakuwa tyre burst tu!!!! watanzania huwajui??huu mji wa dar watu walijazana buguruni wiki eti mtu kageuka chatu na mpaka leo hata nyumba ya hilo tukio haijulikani
Kama ni kimondo basi kilikuwa kinakwenda kwao Kemondo bay
From whatever possible; kama kuna kishindo sijui na mwanga mkali vilisikika tayari hizo ni "foot prints" zimeachwa. Ni mahali pazuri sana pa kuanzia.A
Hiyo sample unaichukuwa kwenye nini mkuu?