Yani mpaka sasa wataalam wetu hawajajua ni kitu gani kilianguka Kagera

kwa-muda

JF-Expert Member
Sep 5, 2018
1,163
2,223
Kweli sisi bado sana, yani mpaka sasa hakuna taasisi yeyote au msemaji wa taasisi yeyote inayohusika na mambo ya geology au ulinzi au mambo ya anga au majanga ambaye ameweza thibitisha ni kitu gani kimetokea Kagera na kusababisha kishindo na ule mwanga ulioonekana angani.

Nasikia tu wanasema kama kuna mwananchi au wananchi waliokuwa karibu wajitokeze waseme nini kilichotokea.
Ndiyo maana waka MV Bukoba inazama Waingereza walitangulia kupata taarifa kabla vyombo vyetu hata havijapata taarifa ikabidi wavipatie taarifa.

Soma > Kagera: Kimondo chadondoka Bukoba
 
Mkuu wa Mkoa alisema kama kuna mtu alisikia au kuona tukio kwa ukaribu zaidi awape taarifa ili wajiolojia wapate pa kuanzia.
Hicho ni kitu kisichojulikana hakitajulikana, tufahamu tu kuwa kuna muungurumo mkubwa na mwanga mkali usioleleweka ulitokea Kagera basi.
Wajiologia wenyewe wanawauliza wananchi ni kitu gani wananchi nao wanawaliza kilikua ni nini.
 
Mkuu wa Mkoa alisema kama kuna mtu alisikia au kuona tukio kwa ukaribu zaidi awape taarifa ili wajiolojia wapate pa kuanzia.
Hicho ni kitu kisichojulikana hakitajulikana, tufahamu tu kuwa kuna muungurumo mkubwa na mwanga mkali usioleleweka ulitokea Kagera basi.
Wajiologia wenyewe wanawauliza wananchi ni kitu gani wananchi nao wanawaliza kilikua ni nini.
Atakayejitokeza kusema alichokiona au kusikia wanamkamata na kumuweka ndani.
 
Mkuu wa Mkoa alisema kama kuna mtu alisikia au kuona tukio kwa ukaribu zaidi awape taarifa ili wajiolojia wapate pa kuanzia.
Hicho ni kitu kisichojulikana hakitajulikana, tufahamu tu kuwa kuna muungurumo mkubwa na mwanga mkali usioleleweka ulitokea Kagera basi.
Wajiologia wenyewe wanawauliza wananchi ni kitu gani wananchi nao wanawaliza kilikua ni nini.
Hata mimi nilimskia ndo nikawaza wataalamu wanauliza wananchi, kikakumbuka kwenye tukio la chenge alipogonga na kuua wale madada kwenye bajaj yeye ndiye aliyekuwa anawaeleza trafik nini kilitokea badala ya trafiki kupima....
 
Mkuu wa Mkoa alisema kama kuna mtu alisikia au kuona tukio kwa ukaribu zaidi awape taarifa ili wajiolojia wapate pa kuanzia.
Hicho ni kitu kisichojulikana hakitajulikana, tufahamu tu kuwa kuna muungurumo mkubwa na mwanga mkali usioleleweka ulitokea Kagera basi.
Wajiologia wenyewe wanawauliza wananchi ni kitu gani wananchi nao wanawaliza kilikua ni nini.
Yalikuwa majilio ya Senene.
 
Kweli sisi bado sana, yani mpaka sasa hakuna taasisi yeyote au msemaji wa taasisi yeyote inayohusika na mambo ya geology au ulinzi au mambo ya anga au majanga ambaye ameweza thibitisha ni kitu gani kimetokea Kagera na kusababisha kishindo na ule mwanga ulioonekana angani.
Nasikia tu wanasema kama kuna mwananchi au wananchi waliokuwa karibu wajitokeze waseme nini kilichotokea.
Ndiyo maana waka MV Bukoba inazama Waingereza walitangulia kupata taarifa kabla vyombo vyetu hata havijapata taarifa ikabidi wavipatie taarifa.


Bila kuwa na kituo chenye vifaa maalumu, hata kama kukawa na wataalamu, hatutakuwa tofauti na mpiga ramli.

Tumewekeza kwenye siasa badala ya kuwekeza kwenye sayansi na teknolojia, moja ya matokeo ndiyo hayo, siyo waziri wala raia wa kawaida wenye majibu
 
Mkuu wa Mkoa alisema kama kuna mtu alisikia au kuona tukio kwa ukaribu zaidi awape taarifa ili wajiolojia wapate pa kuanzia.
Hicho ni kitu kisichojulikana hakitajulikana, tufahamu tu kuwa kuna muungurumo mkubwa na mwanga mkali usioleleweka ulitokea Kagera basi.
Wajiologia wenyewe wanawauliza wananchi ni kitu gani wananchi nao wanawaliza kilikua ni nini.
 
Hata mimi nilimskia ndo nikawaza wataalamu wanauliza wananchi, kikakumbuka kwenye tukio la chenge alipogonga na kuua wale madada kwenye bajaj yeye ndiye aliyekuwa anawaeleza trafik nini kilitokea badala ya trafiki kupima....
Maajabu ya professionals wa kitanzania bora hata wakitanganyika.
 
Hata mimi nilimskia ndo nikawaza wataalamu wanauliza wananchi, kikakumbuka kwenye tukio la chenge alipogonga na kuua wale madada kwenye bajaj yeye ndiye aliyekuwa anawaeleza trafik nini kilitokea badala ya trafiki kupima....


Na ikatajwa kuwa mmoja kati ya marehemu alikuwa mchepuko wake siku za nyuma na aliwagonga akiwa na gari lisilo na bima

Connect dots
 
Kweli sisi bado sana, yani mpaka sasa hakuna taasisi yeyote au msemaji wa taasisi yeyote inayohusika na mambo ya geology au ulinzi au mambo ya anga au majanga ambaye ameweza thibitisha ni kitu gani kimetokea Kagera na kusababisha kishindo na ule mwanga ulioonekana angani.

Nasikia tu wanasema kama kuna mwananchi au wananchi waliokuwa karibu wajitokeze waseme nini kilichotokea.
Ndiyo maana waka MV Bukoba inazama Waingereza walitangulia kupata taarifa kabla vyombo vyetu hata havijapata taarifa ikabidi wavipatie taarifa.
Inawezekana wanajiandaa na safari bado.
 
Si pana Idara ya Jiolojia pale UDSM? Wanashindwaje kuchukua sample ya hicho kitu, kukifanyia uchunguzi, na kutoa majibu kwa wananchi? Anyway, isije ikawa mabaki ya madude ya Kim yalikosea njia! Ee Mola wetu tunusuru!
 
Hakuna wataalamu wa astronomy na astrophysics. Itabidi waingereza na wamarekani na warusi watujuze
 
Si pana Idara ya Jiolojia pale UDSM? Wanashindwaje kuchukua sample ya hicho kitu, kukifanyia uchunguzi, na kutoa majibu kwa wananchi? Anyway, isije ikawa mabaki ya madude ya Kim yalikosea njia! Ee Mola wetu tunusuru!
Kwani wameshaona kilipodondokea hicho chombo hadi wakakipime kujua ni nini? Hakuna hata mabaki wala eneo husika halijajulikana.

Kungekuwa na chopa za kupiga aerial photography na survey wangeweza kupata pa kuanzia. Hii kutafuta manual kwa kuulizia kwa watu itachukua muda.
 
Hilo ni ngumu kujua,lakini ukigegeda hata saa 8 usiku watu watajua
Kuna siku Arusha nilikuwa nakatiza mida kama saa saba ama nae usiku . Hilo eneo ni majarubani. Yani giza nene kichiz hamna hata mwanga. Nilibanwa na mkojo nikakojoa nikaenda zangu ghetto. Ila kesho yake naenda kibaruani nikapishana bibi mmoja wa kinyiramba namfaham nikamsalimia na kuniuliza usiku wa jana mbona ulikuwa unakojoa pale tena nakunitajia sehem
 
Back
Top Bottom