M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
unataka kutuambukiza wivu wako?? hizo pesa ni zao au za umma?? kama zao kinakuwasha nini?? tafuta zako nawewe kanunue hata ya mil. 400 maendeleo ndo yako ivo sio unaanza kuponda..unadhani wangenunua magari hayo kama hawana hela???kenge wee...unawaza kwa kutumia masaburi eehh!!
Jamani imetosha naamini amekoma na hatarudia tena