Baba nipe jinsi ya kujiunga na ttcl hasa line ya chuoVoda ( Chuo) 500/- = MB 500/ week
TTCL (Chuo) 500/- = MB 800/ day
Voda ipo kipuuzi sana kwenye speed ya net hasa hapa nilipoLkn internet Iko slow Sana hadi nachukia kujiunga kifurushi
mjini ama kijijini? hakuna 4g?Voda ipo kipuuzi sana kwenye speed ya net hasa hapa nilipo
kwa vifurushi wise kina voda na TTCL hawana unlimited hivyo kwa matumizi makubwa hawafai japo wana speed zaidi kushinda smile.Nilishaingia mkenge kulipia bundle ya elfu sabini,kufika home net aisomeki,niliporudi ofisini kwao,ttz ilikua ni router yangu aisomi 4g ya smart,ikawa ndio ishakula kwangu,ila binafsi ninaovyo kwa bongo smile hawana mpinzani ktk suala internet
Niko Moshi Sokoine drive kiongozi. Net ni mbovu kuliko neno lenyewe!mjini ama kijijini? hakuna 4g?
Ttcl 800mbmtandao upi una kifurishi rahisi kwa sh 500? na je wanatoa mb ngapi kwa siku au wiki kwa hiyo 500?
Niko Moshi Sokoine drive kiongozi. Net ni mbovu kuliko neno lenyewe!
Voda 1500x4weeks=6000 4gbMi nisha amia voda university ofa yao ipo poa sana.. Halotel baada ya kupunguza MB tena bila taarifa... Nikaona wanaanza kutufanya sisi shamba la bibi yao
Huko 4G mbali hivyo, 3G yenyewe inasua sua vibaya mno
kwanini utumie 3g wakati kuna 4g? unless kifaa chako hakikubali 4g.Huko 4G mbali hivyo, 3G yenyewe inasua sua vibaya mno
Mkuu vp speed ya ttcl iko poa ama ipo slow?Voda 1500x4weeks=6000 4gb
Ttcl 3000 4gb/4weeks (3000 kibindoni) ttcl is the Best
Natumia 3g iki vizuri sanaMkuu vp speed ya ttcl iko poa ama ipo slow?
Zantelmtandao upi una kifurishi rahisi kwa sh 500? na je wanatoa mb ngapi kwa siku au wiki kwa hiyo 500?
Voda uni MB500 kwa wikimtandao upi una kifurishi rahisi kwa sh 500? na je wanatoa mb ngapi kwa siku au wiki kwa hiyo 500?
Hivi hii smile inakuaje hasa kwa sie wa mikoani, ina maana wanakupa line unaweka kwenye simu ama inakuaje?Nilishaingia mkenge kulipia bundle ya elfu sabini,kufika home net aisomeki,niliporudi ofisini kwao,ttz ilikua ni router yangu aisomi 4g ya smart,ikawa ndio ishakula kwangu,ila binafsi ninaovyo kwa bongo smile hawana mpinzani ktk suala internet