Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,312
- 105,142
Kipindi yuko simba alikuwa anawakanyagia kina bumbuli na nugaz kwamba wanajazana tu kwa vyeo ambavyo havipo ili mradi tu wapate ulaji, timu inakuwa na msemaji hii habari ya kusema mhamasishaji ni kujibana bana ili mradi mkono uende kinywanisiyo msemaji ni mhamasishaji