Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,679
- 20,433
Kuilinganisha Barcelona na Simba ni kuidhalilisha Barcelona. Similarly, kuilinganisha Simba na Yanga, ni kuidhalilisha SimbaKatika maisha hatuwezi kulingana kwa kila kitu! Vipi tukiulinganisha huo usajili wa huyo Miquson wako na ule wa Lionel Messi kwenda PSG?