Yanga yatozwa Tsh. Milioni 100 kwa kutumia nyumba ya mtu binafsi badala ya vyumba rasmi vya kubadilishia nguo

Yanga yatozwa Tsh. Milioni 100 kwa kutumia nyumba ya mtu binafsi badala ya vyumba rasmi vya kubadilishia nguo

Jemedari Said ana connection gani pale TFF! mbona kila atakochoongea TFF wanakifanyia kazi! Au anatumwa kupima upepo!
Nakumbuka yote aliyoyaongea crown fm TFF wameyatekeleza ikiwemo ya Hersi kuitwa kamati ya maadili!

Hizi adhabu za kukomoana sana au ni hasira za mtu wao waliyepanga achukue kombe kushindikana!
Nchi haina viongozi wa soka kabisa hii🚮🚮🚮🚮🤣🙌
 
Jemedari Said ana connection gani pale TFF! mbona kila atakochoongea TFF wanakifanyia kazi! Au anatumwa kupima upepo!
Nakumbuka yote aliyoyaongea crown fm TFF wameyatekeleza ikiwemo ya Hersi kuitwa kamati ya maadili!

Hizi adhabu za kukomoana sana au ni hasira za mtu wao waliyepanga achukue kombe kushindikana!
Nchi haina viongozi wa soka kabisa hii🚮🚮🚮🚮🤣🙌
Kila timu haiwezi kujiamulia vile inataka. Ni lazima taratibu ziheshimiwe
 
Chezeni mpira hakuna points za mezani ume target wakatwe point ili muwe mabingwa
Hakuna mwenye shida na points za mezani. Kanuni ziheshimiwe, mpira/ligi yetu si mali ya mtu binafsi au kikundi kwamba kina mamlaka na jeuri ya kukiuka kanuni kwa makusudi. Kama kwenye mechi ya Yanga na Jkt, Yanga walishindwa kuviamini vyumba ambavyo kimsingi vipo chini ya Jeshi, maana yake hawaamini jeshi letu na kwamba jeshi letu nalo haliaminiki.
 
Hakuna mwenye shida na points za mezani. Kanuni ziheshimiwe, mpira/ligi yetu si mali ya mtu binafsi au kikundi kwamba kina mamlaka na jeuri ya kukiuka kanuni kwa makusudi. Kama kwenye mechi ya Yanga na Jkt, Yanga walishindwa kuviamini vyumba ambavyo kimsingi vipo chini ya Jeshi, maana yake hawaamini jeshi letu na kwamba jeshi letu nalo haliaminiki.
Kwanini TFF wasitafute source ya hilo tatizo instead ya kupiga fine?
 
Uongozi wa Yanga chini ya Injinia Hersi unatakiwa ujitathmini kwenye hizi faini za kujitakia kutoka kwa hao matapeli wa Bodi ya ligi. Kila siku timu inapigwa faini kwa sababu zilezile za kishirikina!

Sasa huo usajili wanaoufanya kila mwaka una umuhimu gani kama kuna msaada wa nguvu za giza? Hiyo milioni 100 ya kuwalipa hao matapeli si ingekuwa na mchango chanya kwenye timu! Huu upuuzi siyo wa kuungwa mkono hata kidogo.
 
Kwanini TFF wasitafute source ya hilo tatizo instead ya kupiga fine?
So, kukiuka kanuni kwa makusudi ndio namna sahihi ya kutatua tatizo? Kwanza tatizo gani unaloliongelea... ambalo lilijitokeza kwenye himaya ya jeshi? Maana ni kama mnataka kulituhumu jeshi, ambapo ni kashfa nzito kweli kweli! Siku ukiweka ushabiki wako maandazi pembeni, utaweza angalao kufanana kidogo kwa mbali na Baba yake Haji Manara.
 
So, kukiuka kanuni kwa makusudi ndio namna sahihi ya kutatua tatizo? Kwanza tatizo gani unaloliongelea... ambalo lilijitokeza kwenye himaya ya jeshi? Maana ni kama mnataka kulituhumu jeshi, ambapo ni kashfa nzito kweli kweli! Siku ukiweka ushabiki wako maandazi pembeni, utaweza angalao kufanana kidogo kwa mbali na Baba yake Haji Manara.
Sikiliza wewe mbumbumbu mpira haupo chini ya jeshi timu zote zinatakiwa zipo kwenye same ground, alf tangu lini jeshi likalinda viwanja ?una akili za CCM badala ya kutafta source ya kwanini watu wanataka kuandamana nyie mmekomaa na kuzuia maandamano
 
Fools aren’t in short supply in this country!

Kama ushirikina ungekuwa na uwezo wa kuifanya timu ishinde mechi zake, basi Tanzania ingekuwa imeshakuwa World Cup champion au angalau ingekuwa imeshafuzu a few times kuingia kwenye mashindano ya World Cup!
Kwani timu ya taifa wana mambo ya ushirikina au Yanga?
 
Back
Top Bottom