Yanga yagomea mechi kupigwa saa 1, mechi yaahirishwa

Yupo sahihi.
Wewe kama mchezaji kweli kwanini UOGOPE MUDA?
Ndugu yangu mambo hayaendi kienyeji hivi. Vitu kama hivi sio vya kushabikia. Leo wamesogeza muda masaa 3 kabla unawachekea eti kisa so called "mchezaji kweli". Kuna Siku watasogeza mbele robo saa kabla ndio akili itakukaa vizuri kuhusu huu uhuni tunaoukemea muda huu.
 
Sasa ngoja tuone na ubishi wenu mtaishia wapi
Dah acha hizo mkuu, Serekali ila mamlaka lakini kwa utaratibu, ndiyo maana Sheria ya FIFA inakataza serekali kuingilia michezo, ikibainika hilo mchi husika inafungiwa inajua hilo.

Kusema mkubwa akosei ni maneno ya kizamani na ni yakipuuzi, hakuna sheria inayoegemea upande mmoja.
 
Sababu ya kusogezwa mbele si wameisha toa?
Ndugu yangu mambo hayaendi kienyeji hivi. Vitu kama hivi sio vya kushabikia. Leo wamesogeza muda masaa 3 kabla unawachekea eti kisa so called "mchezaji kweli". Kuna Siku watasogeza mbele robo saa kabla ndio akili itakukaa vizuri kuhusu huu uhuni tunaoukemea muda huu.
 
Kuna kanuni ngapi zimevunja na serikali ije kuwa hii iwe ya ajabu?.
Serikali NI baba
Kwa bahati mbaya kwako, anayetoa adhabu kwenye soka sio serikali bali ni TFF!!

Leo hii Yanga au timu yoyote ikiona haijatandewa haki, wataenda FIFA na sio kwa serikali! Na hata kwenye hili sakata, ikitokea TFF wanaleta ujinga kwa Yanga kwa sababu ya kutii matakwa ya serikali, Yanga wala hawataenda serikalini bali FIFA!
 
Huyo jamaa Oscar ana UNAFIKI mmoja mbaya Sana.
Kama unakumbuka ilikuwa mechi ya Simba na dodoma mji ilitakiwa ichezwe saa 10 jioni alafu siku ile Samia alikuwa anahutubia Bunge saa 10.
Wao na redio Yao wakashauri kuwa mechi ya Simba na dodoma mji ingepunguzwa muda ichezwe saa 8 mchana ili kutoa nafasi kwenye hotuba.
Je na wao walizingatia kanuni ipi?
 
Sababu NI kwamba mama samia alikuwa anataka kuangalia hyo mechi akimaliza shughuli ya mwinyi.
Mbona ipo wazi
Kwanini mpaka Yanga waulize ndio wapewe sababu? Mbona mechi ya Azam na Yanga sababu iliambatana na taarifa?

Taarifa ya Yanga iliwekwa mitandaoni kwa ajili ya kuwapa habari mashabiki zake, ila Tff pia walipewa taarifa yao.
 
Utopolo ndio maana akili zenu na viongozi zinafanana nimekuwekea hadi muda halafu unasema masaa 24 si ajabu hujui hata masaa yanavyoenda
Embu toa ushahidi ama uthibitisho kuonesha kuwa taarifa ilitolewa saa sita mchana. Maana kwenye post za Azam fc, Azam tv, na Yanga kwenye page zao tokea tarehe 23 muda wa mchezo ulikuwa saa mbili na robo usiku. Haya tuoneshe taarifa ya sita mchana ya tarehe hiyo hiyo iko wapi?
 
Yanga wanachofanya ni kuonyesha watu kuwa wanaonewa na tff, ili wakikosa ubingwa wapate sympathy ya mashabiki. Maana viongozi walisema wakikosa ubingwa waulizwe wao
 
Back
Top Bottom