Katika hali isiyokuwa yakawaida team ya Yanga wakiongongozwa na mashabiki wao wamelalamika wakisema club ya Simba imenunua blue tick ya Instagram (verification account).
Hawa mashabiki wa Yanga inaonesha ni watu wenye roho mbaya na wivu mkali mno wanaweza hawajui kuwa mpira sio uadui hawafai kuitwa watani bora tuwaite maadui tu.
Hawa mashabiki wa Yanga inaonesha ni watu wenye roho mbaya na wivu mkali mno wanaweza hawajui kuwa mpira sio uadui hawafai kuitwa watani bora tuwaite maadui tu.