Yanga yabaki na pointi 6 tu Kombe la Shirikisho

Daniel Mbega

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
338
180
Yanga Mtibwa.JPG

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho, Yanga, wamefungwa na TP Mazembe bao 1-0, tena nyumbani.

Ni mechi ya pili mfululizo baada ya kupokea kipigo kama hicho ugenini kwa MO Bejaia ya Algeria Juni 20, mwaka huu, hivyo kuendelea kuburuza mkia kwenye Kundi A la michuano hiyo.

Kipigo hicho cha nyumbani jana Jumanne, Juni 28, kinamaanisha kwamba mabingwa hao wa soka Tanzania Bara pamoja na Kombe la Shirikisho....

Soma zaidi hapa => Yanga yabaki na pointi 6 tu Kombe la Shirikisho | Fikra Pevu
 
Al ahly wenyewe wamepoteza mechi mbili nyuma tena moja nyumban nyingine away kwa idadi kubwa ya mabao
 
View attachment 361056
WAWAKILISHI wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho, Yanga, wamefungwa na TP Mazembe bao 1-0, tena nyumbani.

Ni mechi ya pili mfululizo baada ya kupokea kipigo kama hicho ugenini kwa MO Bejaia ya Algeria Juni 20, mwaka huu, hivyo kuendelea kuburuza mkia kwenye Kundi A la michuano hiyo.

Kipigo hicho cha nyumbani jana Jumanne, Juni 28, kinamaanisha kwamba mabingwa hao wa soka Tanzania Bara pamoja na Kombe la Shirikisho....

Soma zaidi hapa => Yanga yabaki na pointi 6 tu Kombe la Shirikisho | Fikra Pevu


Mkuu utajiua bure kushabikia wacheza shoo. Jiulize kidogo, toka lini wacheza shoo (Yanga) wakawa wa kimataifa? Katika michuano ya kimataifa ni lini wacheza shoo walifanya vizuri zaidi ya kusindikiza wenzao? Msijipe moyo bure, Yanga si ya kimataifa kihivyo jamani, rudini tu mabondeni (Jangwani) mkajipange tena.
 
Back
Top Bottom