Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama nyie mnavyoisubiri kutoka uturuki ?bwana nyie msahau mambo ya yanga kwa sababu nyie hamwezi .Story tu za Manji. itaishia kwenye makabrasha.. kesho tu mtasikia ooh ramani bado tunaisubiri toka China
Story tu za Manji. itaishia kwenye makabrasha.. kesho tu mtasikia ooh ramani bado tunaisubiri toka China
Suala la mbu je itakuwaje? Cz jangwani ni wetland pale kuna kiwanda cha mbu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Suala la mbu je itakuwaje? Cz jangwani ni wetland pale kuna kiwanda cha mbu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Klabu yanga imeingia mkataba na kampuni Beijing Construction Engeneering Group ya upembuzi akinifu kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa kisasa mitaa ya Jangwani.
Simba mpooo?
Story?! Unafikiri Manji ni sawa na mzee wa mogadishu anayefeli kila analofanya?
- Kafeli kwa Mbuyu Twite
- Kafeli kujenga uwanja Bunju kama alivyojinadi, mpk leo anasubiri ramani toka Uturuki
- Alisema amemuuza Okwi Singapore kwa 1bn
- Kaiponza CCmizi Igunga kwa kwenda na bastola akidhani pale ni Mogadishu
Yaani kila kitu yeye ni kufeli tu. Alichoweza ni rufaa CAF mwaka ule na mkaishia kubamizwa na Waydad Casablanca
Jangwani mbu kwani tumekwambia tunatengeneza sehemu za kulala pale? Mbona usijiulize mnaishije na NZI wa sokoni?
Hii inashangaza kweli, yaani Club ya Mpira haina hata uwanja wa kupigia dana dana? Mkitaka kumjaribu mchezaji hadi msogeze meza nyuma ndio apige dana dana!!!!
Kaburu: "Rage sogeza nyanyua miguu kidogo tuone kama kijana ana kontrooo.............."
Rage: "Ok OK, dakika moja tafadhali, ngoja nimalizie hii barua ya rufaa niitume CUF sasa hivi.....sasa hivi....loh, mbona inzi wengi hivi leo, huko sokoni hawajapiga dawa nini?"
Kaburu: "Hamna shaka mkuu" kwa dogo "star we tulia kidogo, sasa hivi tutatoa meza hizi, panatosha tu hapa usijali"
Rage: "Uuukey! Basi mi nipo chini hapo napata kahawa, mkimaliza utanishtua nije kuwasainia wale jamaa fedha zao"
Kaburu: "Sawa mkuu, halafu na Bi Fatma wa Zenj unajua bado anadai ile bili ya maharage tuliyokula tulipoenda kwenye kombe la Maulidi"
Rage: "Sawaaa, tutaongea mida." (Anatoka huku akijisemea mwenyewe 'Hili jamaa sijui samtaim vipi, sasa mambo ya maharage ndio asema mbele ya mgeni. Hivi hivi siku moja atakuja kuropoka kuwa tumetafuna rambi rambi za Mafisango..ah!')
Story tu za Manji. itaishia kwenye makabrasha.. kesho tu mtasikia ooh ramani bado tunaisubiri toka China
Yanga wanaweza kufanikiwa katika ujenzi wa uwanja huu. Wameanza na feasibility study ambayo itaonesha mradi huu utekelezwe au la. Simba wameshindwa kuendelea na mradi wao kwa vile walianza na kumpata mkandarasi feki kutoka Uturuki, hii ni hatua ya juu sana. Manji na viongozi wenzako songeni mbele ili tofauti baina yenu na Rage na wenzake ionekane wazi kwa kila mwenye akili timamu.
Manispaa inawaona mnavyojichanganya pale bondeni. Jengeni tu, utabomolewa na manispaa siku ya uzinduzi