baadae wanarudi hatua mia nyumaKila mwaka wanaanza upya.. watajua wenyewe wautopoloni
pole kaka!!!!Naipenda Yanga, ila hii tabia ya kusajili kikosi kizima kila msimu hua kinanikera, nakunifanya nijiulize nani aliniroga kuipenda hii timu?
Mwaka 2010 nilisha jaribu kuhama, nakuhamia Azam, lakini nakwao ni upuuzi mtupu, yani hamna tofauti ya Azam na Simba B.
Ndio maana hujitokezaga kuishangilia Yanga kwenye mechi na Simba, kinyume na hapo, huwezi ni jua kua mimi ni Shabiki wa Yanga.
Mungu naomba uniondolee adhabu hii, timu kama haina viongozi wanaojua soccer bhana! Aghhh
Na hapo wakiboronga wanaanza kuilamu tffbaadae wanarudi hatua mia nyuma
Hakuna kitu, mkiendelea na hizo Mambo zenu mtabadili Sana makipa na hakuna mtakachovuna, Kwanza ata angebaki tungeshangaa mmeanza lini kudumu na kipa zaidi ya misimu miwili hapo penyewe metacha kajitahidi Sana kumaliza miaka 2 akiwa YangaWewe hujui Mambo ya ndani ya soka ya TZ na kuhusu Simba na Yanga...baki hivyo hivyo...Metacha Anna umri mdogo na angeweza kuwa mzuri but this is the end of the road...
Binafsi namkubali Shikalo,yuko poa sana.Ila chikalo ni mtu mmoja muungwana sana, huyo metacha mwache aendee japo ni golikipa mzuri ndiyo ajue madhara ya kila unachokifanya kwa jamiii
Fursa fursa fursa kaka,hapa mjini bila kutumia akili utoboi.Mkuu hicho kitendo kinanikera mpaka basi.
Hivi ni sifa, ama kuna kamchezo ka watu kupiga pesa kipindi cha usajili?
Kwamba kipa wa Yanga kivyo vyote vile hasifungwe?Huyo Metacha sitaki hata kumsikia...sare ya 1-1 mechi ya ligi na Simba goli la Onyango huyo Metacha anajua alichofanya...kipigo Cha 4-1 mbele ya Simba Metacha anajua pamoja Jafari na Juma Abdul....sare ya 3-3 na Kagera kipa alikuwa Nani? Sare ya 1-1 na polisi kipa alikuwa Nani?