maatope
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,424
- 957
Kiukweli utakuwa mnafiki sana kuwalaumu wasomaji wa gazeti la Mwanaspoti na wasikilizaji wa Efm ambao hadi leo najiuliza wana akili gani za matope kudhani Maulidi ni mtu sahihi wa kuwa anchor wa kipindi chao wakati mwanadada mrembo Tunu Hassan alikuwa anafanya kazi inayoridhisha
Anyway labda ni mambo ya vijana wa toan michicha nanihihi watoto wa kisasa maboss ya mjini yanawekena siri zileee anywayy
Basi sawa sasa ile Yanga ya Efm na ya Mwanaspoti jamni siyo tulioyoina Azam TV
Byeee
Anyway labda ni mambo ya vijana wa toan michicha nanihihi watoto wa kisasa maboss ya mjini yanawekena siri zileee anywayy
Basi sawa sasa ile Yanga ya Efm na ya Mwanaspoti jamni siyo tulioyoina Azam TV
Byeee