Katika kile kinachoonekana kuwa na mzio na rangi nyekundu, klabu ya Yanga imepeleka maulizo hospitali ya Muhimbili kuuliza kama inawezekana kubadilisha rangi ya damu ya wachezaji wao kuwa njano, kijani au hata nyeusi.
Maulizo hayo yanafuatia klabu hiyo kukataa kata kata kuvaa jezi zenye nembo nyekundu ya Vodacom na baadhi ya watu kuwasuta kuwa basi wabadilishe pia rangi ya damu zao. Ndipi kiongozi mmoja(jina linahifadhiwa) alipoamua kuwaaambia wenzie kuwa yeye ame google kwenye mtandao na kubaini inawezekana kubadili rangi ya damu wakimeza aina fulani ya dawa spesheli.
Maulizo hayo yanafuatia klabu hiyo kukataa kata kata kuvaa jezi zenye nembo nyekundu ya Vodacom na baadhi ya watu kuwasuta kuwa basi wabadilishe pia rangi ya damu zao. Ndipi kiongozi mmoja(jina linahifadhiwa) alipoamua kuwaaambia wenzie kuwa yeye ame google kwenye mtandao na kubaini inawezekana kubadili rangi ya damu wakimeza aina fulani ya dawa spesheli.