Kwa ht hii 1-0 wanashinda yanga ftNajuaa itawaumizaa kidogo wanna Yanga na kuwafurhisha
Timu yetuu itapata wakati.mgumu sana na kama Ht watatoka drw yà 0-0
Basii tujiandaee kisaikolojia na ushindi via penalty
Mkuu rudi tena ufute kauli yako.
Nasikia vyura wameweza kuogelea na kushinda 1 bilaMatokeo yapoje Mkuu?
Je nyinyi mlishinda ngapi kule shinyanga ndani ya dk 90Nasikia vyura wameweza kuogelea na kushinda 1 bila