Wakuu salaam,
Uongozi wa yanga, unajiandaa kumfungulia mashitaka rais wa tff kwenye kamati ya maadili muda wowote kuanzia kesho kwa matamshi yake ya kuwatukana na kuwadhalilisha.
naisubiria kwa hamu hii kesi ili nione kama kamati ya maadili watamuadhibu boss wao/wataufyata.
Uongozi wa yanga, unajiandaa kumfungulia mashitaka rais wa tff kwenye kamati ya maadili muda wowote kuanzia kesho kwa matamshi yake ya kuwatukana na kuwadhalilisha.
naisubiria kwa hamu hii kesi ili nione kama kamati ya maadili watamuadhibu boss wao/wataufyata.