Yanga wametukumbusha tu

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Oct 28, 2016
3,188
8,215
Anaandika @exaud_msaka_habari

Kuna watu wanauliza kwanini Mechi ya Yanga na Azam hakukuwa na Migomo? Huo ni muendelezo wa kuhalalisha kosa kwa kosa lingine

Juzi tu hapo Biashara wamesafiri usiku mpaka Tanga wanafika tu game imefutwa haipo wakarudi

Walichokifanya Yanga ni kukumbusha kuwa kuna kanuni zinavunjwa, na huenda wamesaidia haya mambo yasijitokeze tena

Mabadiliko ya Muda mechi nyingi sana yapo sema yanatokea kwa timu ambazo haziwezi kusema zikasikika ila leo imetokea kwa Mkubwa

Siwatetei Yanga sababu na wao wameshindwa kuangalia uhalisia wa mashabiki wao walioingia gharama kufika, wangeweza kutumia busara shida ni kwamba Watawala wa soka wao wanatumiaga Busara kudeal na Yanga

Kama tumekubaliana kila kitu ni sheria na kanuni basi neno busara lisitumike kabisa

Bila kuficha Yanga wana hasira na TFF na wameamua kuzionesha wazi na wamezionesha kwa kisimamia kanuni za soka

Hii itupe funzo kuwa kama tunajenga nyumba moja tusikubali mmoja ajihisi anaonewa kuna siku na yeye atahitajika msaada wake atagoma
 
Anaandika @exaud_msaka_habari

Kuna watu wanauliza kwanini Mechi ya Yanga na Azam hakukuwa na Migomo? Huo ni muendelezo wa kuhalalisha kosa kwa kosa lingine

Juzi tu hapo Biashara wamesafiri usiku mpaka Tanga wanafika tu game imefutwa haipo wakarudi

Walichokifanya Yanga ni kukumbusha kuwa kuna kanuni zinavunjwa, na huenda wamesaidia haya mambo yasijitokeze tena

Mabadiliko ya Muda mechi nyingi sana yapo sema yanatokea kwa timu ambazo haziwezi kusema zikasikika ila leo imetokea kwa Mkubwa

Siwatetei Yanga sababu na wao wameshindwa kuangalia uhalisia wa mashabiki wao walioingia gharama kufika, wangeweza kutumia busara shida ni kwamba Watawala wa soka wao wanatumiaga Busara kudeal na Yanga

Kama tumekubaliana kila kitu ni sheria na kanuni basi neno busara lisitumike kabisa

Bila kuficha Yanga wana hasira na TFF na wameamua kuzionesha wazi na wamezionesha kwa kisimamia kanuni za soka

Hii itupe funzo kuwa kama tunajenga nyumba moja tusikubali mmoja ajihisi anaonewa kuna siku na yeye atahitajika msaada wake atagoma
Nani alikuambia game ya YANGA VS AZAM ILIGHAIRISHWA MASAA MAWILI KABLA?
ACHA UPUMBAVU.
Angalia tar ya TANGAZO na mechi ilichezwa lini. Hivi TZ hatuna akili angalau ya kufuatikia mambo?
20210508_215138.jpg
 
Nakuunga mkono,,kama kunakanuni zilivunjwa mechi za nyuma ziendelee tu kuvunjwa mpaka lini?,kwahili Utopolo tuko pamoja.Haji anabwabwaja tu wakati mwingine mpaka unamshangaa wakati na yeye ni mtu wa mpira kama anavyojinasibu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom