Yanga leo kacheza vizuri. Timu imechangamka, imedefend vizuri kama timu pia. Muda utaongea, hiyo Simba haitafika popote.Sijaona kiwango chochote cha maana walichokionesha yanga. Uto wameshinda kwasababu namungo ndio timu mbovu kuliko zote ligi kuu. Yaani kwa kifupi kipofu kaona mwezi.
Timu nzuri bila ushindi inasaidia nini, ushindi hata kwa goli la mkono ndio mpango mzimaSijaona kiwango chochote cha maana walichokionesha yanga.
Uto wameshinda kwasababu namungo ndio timu mbovu kuliko zote ligi kuu.
Yaani kwa kifupi kipofu kaona mwezi.
Ya kwako inayocheza vizuri Iko wapi? Mbumbumbu mna matatizo vichwani sio Bure!Sijaona kiwango chochote cha maana walichokionesha yanga.
Uto wameshinda kwasababu namungo ndio timu mbovu kuliko zote ligi kuu.
Yaani kwa kifupi kipofu kaona mwezi.
Mkuu shukuru hata kidogo basi 😄😄Kama Yanga angekuwa mbovu asingekugonga kimoja ungekuwa mzima ungemfunga wewe
Njoo na timu yako uwoneMkuu shukuru hata kidogo basi 😄😄
Hongera mkuuNjoo na timu yako uwone
Shukrani sana brotherHongera mkuu
Wa kwetuYani hawa vyura ni waoga kweli walikimbia jukwaa..yani mlotegemea Namungo iwafunge namungo kila timu inajipigia...
😀😀😀😀😀Yani hawa vyura ni waoga kweli walikimbia jukwaa..yani mlotegemea Namungo iwafunge namungo kila timu inajipigia...