kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Hii nchi ni ngumu sana. Unaweza kumpa mtu elimu ukatarajia ataacha tabia zake za wanga, ila akisoma anaanzisha aina mpya ya wanga.
Niseme wazi kuwa, hao utopolo, baada ya kushindwa kwenye pitch, wameamua kupeleka hasira zao FCC. Baada ya wao kuisaidia Simba kudai bilioni 20, na kuona hakuna anayewajali, sasa kwa kutumia watu wao wameamua kupitia FCC ili kuiyumbisha Simba, hasa muda huu wanapoiona inapasua kimataifa.
Lengo lao ni kutaka wachezaji wakubwa waingiwe hofu kusaini Simba kwa kuwaaminisha eti kuna figisu.
Sisi Simba tuko imara. Njooni kwa akili. Michezo hiyo mkiiendekeza mjue inarudisha nyuma maendeleo ya soka
Niseme wazi kuwa, hao utopolo, baada ya kushindwa kwenye pitch, wameamua kupeleka hasira zao FCC. Baada ya wao kuisaidia Simba kudai bilioni 20, na kuona hakuna anayewajali, sasa kwa kutumia watu wao wameamua kupitia FCC ili kuiyumbisha Simba, hasa muda huu wanapoiona inapasua kimataifa.
Lengo lao ni kutaka wachezaji wakubwa waingiwe hofu kusaini Simba kwa kuwaaminisha eti kuna figisu.
Sisi Simba tuko imara. Njooni kwa akili. Michezo hiyo mkiiendekeza mjue inarudisha nyuma maendeleo ya soka