junky
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 413
- 976
Kocha Mwinyi Zahera aliwahi kulalamika kipindi akiwa kocha akicheza dhidi ya JKT Tanzania
Awali mechi ilikuwa ichezwe saa kumi na mbili jioni lakini Tff walibadilisha muda hivyo wakaharibu program nzima ya timu.
Wachezaji saa kumi na mbili asubuhi walifanya warm up na wakaingia kulala vyumbani na walipaswa waanshwe muda waliowekewa ili wake chakula na program zingine ziendelee mara ghafla Katokati Tff wakabadilisha muda na hivyo kuharibu program nzima ya timu na wachezaji wakacheza wakiwa na njaa.
NB:kwenye pre match meeting asubuhi mechi ilijulikana ni saa kumi na moja timu imeweka program yake ya warm up na chakula Kisha mchana mechi inabadilishwa, timu zinaenda kwa program ase.
Awali mechi ilikuwa ichezwe saa kumi na mbili jioni lakini Tff walibadilisha muda hivyo wakaharibu program nzima ya timu.
Wachezaji saa kumi na mbili asubuhi walifanya warm up na wakaingia kulala vyumbani na walipaswa waanshwe muda waliowekewa ili wake chakula na program zingine ziendelee mara ghafla Katokati Tff wakabadilisha muda na hivyo kuharibu program nzima ya timu na wachezaji wakacheza wakiwa na njaa.
NB:kwenye pre match meeting asubuhi mechi ilijulikana ni saa kumi na moja timu imeweka program yake ya warm up na chakula Kisha mchana mechi inabadilishwa, timu zinaenda kwa program ase.