Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,799
Inamana uwanjani kulikuwa na mashabiki wa mikia tu?
Hakika nyie ni mambūmbumbu
Hakika nyie ni mambūmbumbu
gharama za kulipia uwanja hazitakuwepo.Hata wakijenga uwanja wao bado kodi zitabaki hizo hizo.....
Acha hasira mkiambiwa ukweli mnachukia hata kuwa mlifungwa utabisha vyura nyieInamana uwanjani kulikuwa na mashabiki wa mikia tu?
Hakika nyie ni mambūmbumbu
Mbumbumbu banaAcha hasira mkiambiwa ukweli mnachukia hata kuwa mlifungwa utabisha vyura nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa,
Yanga sio wazalendo hata kwa timu yao.
Badala ya kuja uwanjani na kuichangia klabu wao wanaamua kususa.
Labda wanapenda kushinda tu, la sivyo bora timu ife.
Wangekuja kwa wingi wangeweza kuongeza hamasa kwa wahezaji na kuondoka na ushindi
Na Simba walishinda kwa kuongezewa na hamasa ya washabiki wao.
Waacha wasuse, Simba mukuje kuuwanja kuishangilia timu yenu iwe kwa kufunga au kufungwa.
Hongera Manara
Kaza Uzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mo katoa Simba 250 m kwa mwaka kupitia Mo energy... Unajuwaje nyingine ni michango ya watu..hawataki kujulikanaAngalau Yanga watapumzika kidogo kutembeza bakuli
345825000. WAMEGAIANAA HIVYOIshu ya Mapato ya Simba na Yanga
Hii hapa
Mgawanyo wa mapato
VAT 52,295,338.98
Selcom 15,170,006.25
TFF 13,767,982.74
Uwanja 41,303,948.22
Young Africans 165,215,792.86
Gharama za mchezo 19,275,175.83
TPLB 24,782,368.93
BMT 2,753,596.55
DRFA 8,260,789.64
Mchezo namba 270 wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliozikutanisha Young Africans na Simba uliochezwa Jumamosi Februari 16,2019 kwenye Uwanja wa Taifa umeingiza jumla ya shilingi Milioni 342,825,000
Mchezo huo uliingiza jumla ya watazamaji 41,266
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao selcom wanapataje hela yote hiyo?Ishu ya Mapato ya Simba na Yanga
Hii hapa
Mgawanyo wa mapato
VAT 52,295,338.98
Selcom 15,170,006.25
TFF 13,767,982.74
Uwanja 41,303,948.22
Young Africans 165,215,792.86
Gharama za mchezo 19,275,175.83
TPLB 24,782,368.93
BMT 2,753,596.55
DRFA 8,260,789.64
Mchezo namba 270 wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliozikutanisha Young Africans na Simba uliochezwa Jumamosi Februari 16,2019 kwenye Uwanja wa Taifa umeingiza jumla ya shilingi Milioni 342,825,000
Mchezo huo uliingiza jumla ya watazamaji 41,266
Sent using Jamii Forums mobile app
Makato kama mshahara was mwalimu mwenye mkopo bank na HELSBVAT, TFF, BMT, DRFA ukiangalia kiundani hawa ni wamoja ila kila mtu anataka shea yake pekee.
Jumla ya watazamaji walikuwa ni 41,266, Jumla ya mapato; 342,825,000
Mgawanayo wake:
Kodi (VAT): 52,295,338
SELCOM: 15,170,000
TFF: 13,767,982
Uwanja (kwa mchina): 41,339,480
Young Africa: 165,215,792
Gharama za michezo : 19,275,175
Bodi ya ligi: 24,782,368
Baraza la michezo: 2,753,596
DRFA: 8,260,789
Situliambiwa ticket sold out means uwanja ulijaa watu 60,000? Au sikuelewa