Yanga: Usajili wao kama wanaenda kucheza UEFA, Serikali iingilie kati

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,767
24,187
Hawa jamaa wanazofanya Sasa Ni sifa ...... Zimezidi viwango haiwezekani timu inasajili wachezaji proffesinal Sana kuzidi timu zote east Africa

Sisi Kama wadau wa michezo tunaomba Serikali inabidi iingilie kati, hivi hawa Yanga kwani wanaenda kucheza (UEFA) ?!

11 - Bernard Morrison
10 - Stephan Aziz Ki
09 - Fiston Mayele
08 - Khalid Aucho
07 - Razarus Kambole
06 - Gael Bigirimana
05 - Mwamnyeto
04 - Yannick Bangala
03 - Lomalisa
02 - Djuma Shabani
01 - Djigui Diarra

Sub ya Aziz Ki >>>> Feisal

Mi naona hakuna fair competition kwenye league
View attachment 2287169
 
Mzee Oscar oscar
FB_IMG_16575386213904343.jpg
 
Hawa jamaa wanazofanya Sasa Ni sifa ...... Zimezidi viwango haiwezekani timu inasajili wachezaji proffesinal Sana kuzidi timu zote east Africa

Sisi Kama wadau wa michezo tunaomba Serikali inabidi iingilie kati, hivi hawa Yanga kwani wanaenda kucheza (UEFA) ?!

11 - Bernard Morrison
10 - Stephan Aziz Ki
09 - Fiston Mayele
08 - Khalid Aucho
07 - Razarus Kambole
06 - Gael Bigirimana
05 - Mwamnyeto
04 - Yannick Bangala
03 - Lomalisa
02 - Djuma Shabani
01 - Djigui Diarra

Sub ya Aziz Ki >>>> Feisal

Mi naona hakuna fair competition kwenye league
View attachment 2287169
Katika ligi ya Bara, ni wachezaji nane tu wa kigeni wanaoruhusiwa kuhusika katika mechi moja, yaani wanaocheza na wanaokaa benchi. Wengine wanatakiwa wakae jukwaani au wabaki hotelini
 
Hatushindani wala hatuwaangalii Yanga wanafanya Nini hayo ni mambo ya kizamani, sisi tunaangalia timu inahitaji nini Ili ikawe timu shindani
Vp unamaanisha... hamtaki kujifunza kwa aliye fanikiwa?
 
Katika ligi ya Bara, ni wachezaji nane tu wa kigeni wanaoruhusiwa kuhusika katika mechi moja, yaani wanaocheza na wanaokaa benchi. Wengine wanatakiwa wakae jukwaani au wabaki hotelini
Kosi la kimataifa
 
Hawa jamaa wanazofanya Sasa Ni sifa ...... Zimezidi viwango haiwezekani timu inasajili wachezaji proffesinal Sana kuzidi timu zote east Africa

Sisi Kama wadau wa michezo tunaomba Serikali inabidi iingilie kati, hivi hawa Yanga kwani wanaenda kucheza (UEFA) ?!

11 - Bernard Morrison
10 - Stephan Aziz Ki
09 - Fiston Mayele
08 - Khalid Aucho
07 - Razarus Kambole
06 - Gael Bigirimana
05 - Mwamnyeto
04 - Yannick Bangala
03 - Lomalisa
02 - Djuma Shabani
01 - Djigui Diarra

Sub ya Aziz Ki >>>> Feisal

Mi naona hakuna fair competition kwenye league
View attachment 2287169
Ushamba na ulimbukeni ni kitu kibaya sana, yaani mtu unajitoa ufahamu kama umekunywa maji ya chooni vile. Yaani kama una watoto wakisoma huu Utopolo watatamani bora wangekuwa yatima.
 
Kweli kabisa! Hata wale akina Victor Akpan, Moses Phiri, Nassoro Kapama, Habib Kiyombo, Mzamiru Yassin aka Kiungo Punda, Nahodha John Bocco, na wengineo wengi!

Tutawaona tu msimu ujao.
Daaah nawaza ....sijui ligi itakuwaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom