Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,767
- 24,187
Hawa jamaa wanazofanya Sasa Ni sifa ...... Zimezidi viwango haiwezekani timu inasajili wachezaji proffesinal Sana kuzidi timu zote east Africa
Sisi Kama wadau wa michezo tunaomba Serikali inabidi iingilie kati, hivi hawa Yanga kwani wanaenda kucheza (UEFA) ?!
11 - Bernard Morrison
10 - Stephan Aziz Ki
09 - Fiston Mayele
08 - Khalid Aucho
07 - Razarus Kambole
06 - Gael Bigirimana
05 - Mwamnyeto
04 - Yannick Bangala
03 - Lomalisa
02 - Djuma Shabani
01 - Djigui Diarra
Sub ya Aziz Ki >>>> Feisal
Mi naona hakuna fair competition kwenye league
View attachment 2287169
Sisi Kama wadau wa michezo tunaomba Serikali inabidi iingilie kati, hivi hawa Yanga kwani wanaenda kucheza (UEFA) ?!
11 - Bernard Morrison
10 - Stephan Aziz Ki
09 - Fiston Mayele
08 - Khalid Aucho
07 - Razarus Kambole
06 - Gael Bigirimana
05 - Mwamnyeto
04 - Yannick Bangala
03 - Lomalisa
02 - Djuma Shabani
01 - Djigui Diarra
Sub ya Aziz Ki >>>> Feisal
Mi naona hakuna fair competition kwenye league
View attachment 2287169