kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,636
- 7,005
Huyu mhamasishaji wenu hafai hata kidogo. Anaongea kama lialia, anatafuta huruma siku zote.
Hii staili ya uongeaji haifai kabisa kwa mchezo wanaocheza wanaume. Aangalie WWE aone wababe wanaongeaje hata wakipigwa kwa kuonewa.
Kwanini msimnunue kwa mkataba mnono mtu kama Masau Bwire au Thobias Kifaru?
Munawezaje kutengeneza brand kwa kutumia mtu kama yule hajui mpira ni nini?
Wape salaam!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii staili ya uongeaji haifai kabisa kwa mchezo wanaocheza wanaume. Aangalie WWE aone wababe wanaongeaje hata wakipigwa kwa kuonewa.
Kwanini msimnunue kwa mkataba mnono mtu kama Masau Bwire au Thobias Kifaru?
Munawezaje kutengeneza brand kwa kutumia mtu kama yule hajui mpira ni nini?
Wape salaam!
Sent using Jamii Forums mobile app