Yanga/Simba Mechi Inayozidi Kushuka Kiwango Uwanjani

ibanezafrica

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,261
6,543
Sijui ni nini ushabiki unakua mkubwa mitaani kuliko kiwango tunachokuja kuonyeshwa uwanjani....hizi timu kwa Mimi naona in kama zimezeeka sasa so kama ilivyokuaga miaka ya nyuma...nilitegemea simba waonyeshe soka kubwa Leo kulinganisha na yanga yenye migogoro....Yanga nao wameonekana kumiliki Mpira lakini finishing wameshindwa..!
Au yawezekana hawa wachezaji wrote in wale wale kwa maana % kubwa wengi wamezeekea ndani timu hizi mbili kiasi twaweza amini hata utafutaji wa vipaji vipya umekua mgumu

Emmanuel Okwi wa simba amewahi kuwa mchezaji wa Yanga
Mrisho Ngasa wa Yanga amewahi kucheza Simba
Yondani Wa Yanga amewahi chezea Simba
Haruna Niyonzima Wa Simba amewahi chezea Yanga
Deogratius Munisi wa Simba amechezea Yanga
Haruna Moshi Wa Yanga amewahi chezea Simba
Kassim Tambwe wa Yanga amewahi chezea Simba
Ibrahim Ajib wa Yanga amewahi kucheza Simba

Hii hali huwezi ikuta kwa wenzetu hasa walioendelea mfano mchezaji kuhama toka real Madrid kwenda Barcelona ama Manchester united kwenda man city kirahisi ...

Je hii hawezi kua shida ya timu zetu hizi mbili kuendelea kupoteza mvuto Mara zikutanapo uwanjani?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui ni nini ushabiki unakua mkubwa mitaani kuliko kiwango tunachokuja kuonyeshwa uwanjani....hizi timu kwa Mimi naona in kama zimezeeka sasa so kama ilivyokuaga miaka ya nyuma...nilitegemea simba waonyeshe soka kubwa Leo kulinganisha na yanga yenye migogoro....Yanga nao wameonekana kumiliki Mpira lakini finishing wameshindwa..!
Au yawezekana hawa wachezaji wrote in wale wale kwa maana % kubwa wengi wamezeekea ndani timu hizi mbili kiasi twaweza amini hata utafutaji wa vipaji vipya umekua mgumu

Emmanuel Okwi wa simba amewahi kuwa mchezaji wa Yanga
Mrisho Ngasa wa Yanga amewahi kucheza Simba
Yondani Wa Yanga amewahi chezea Simba
Haruna Niyonzima Wa Simba amewahi chezea Yanga
Deogratius Munisi wa Simba amechezea Yanga
Haruna Moshi Wa Yanga amewahi chezea Simba
Kassim Tambwe wa Yanga amewahi chezea Simba
Ibrahim Ajib wa Yanga amewahi kucheza Simba

Hii hali huwezi ikuta kwa wenzetu hasa walioendelea mfano mchezaji kuhama toka real Madrid kwenda Barcelona ama Manchester united kwenda man city kirahisi ...

Je hii hawezi kua shida ya timu zetu hizi mbili kuendelea kupoteza mvuto Mara zikutanapo uwanjani?


Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo zamani unayoizungumzia ipi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui ni nini ushabiki unakua mkubwa mitaani kuliko kiwango tunachokuja kuonyeshwa uwanjani....hizi timu kwa Mimi naona in kama zimezeeka sasa so kama ilivyokuaga miaka ya nyuma...nilitegemea simba waonyeshe soka kubwa Leo kulinganisha na yanga yenye migogoro....Yanga nao wameonekana kumiliki Mpira lakini finishing wameshindwa..!
Au yawezekana hawa wachezaji wrote in wale wale kwa maana % kubwa wengi wamezeekea ndani timu hizi mbili kiasi twaweza amini hata utafutaji wa vipaji vipya umekua mgumu

Emmanuel Okwi wa simba amewahi kuwa mchezaji wa Yanga
Mrisho Ngasa wa Yanga amewahi kucheza Simba
Yondani Wa Yanga amewahi chezea Simba
Haruna Niyonzima Wa Simba amewahi chezea Yanga
Deogratius Munisi wa Simba amechezea Yanga
Haruna Moshi Wa Yanga amewahi chezea Simba
Kassim Tambwe wa Yanga amewahi chezea Simba
Ibrahim Ajib wa Yanga amewahi kucheza Simba

Hii hali huwezi ikuta kwa wenzetu hasa walioendelea mfano mchezaji kuhama toka real Madrid kwenda Barcelona ama Manchester united kwenda man city kirahisi ...

Je hii hawezi kua shida ya timu zetu hizi mbili kuendelea kupoteza mvuto Mara zikutanapo uwanjani?


Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi kubwa sana kwa wachezaji, Presha inawazidi Wachezsji, Makocha, Marefa mbaka Mashabiki ndiomaana inachezwa kwa staili iliyopo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
udakutz_-20190216-0001.jpg

Umiliki 60 kwa 40, on targets 3 kwa 1 plus mwamba.

Acha uzwazwa
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hata majina ya wachezaji hayajui huyu bwege.
Mpira unaovutia sijui una tafsiri vipi wewe bwege !
Game ilikuwa nzuri mpira ni mkubwa tu ulitaka uone watu wanapiga danadana?
Wastan umeonekana 60/40%ulitaka yanga wasiguse mpira kabisa yaani 90/10% na hizo 10%ni za kiokotea mipira wavuni?
Tafuta pa kupeleka mawazo yako ya kibwege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujiulizi kwann Jumamosi hii ni game moja tu ndo imechezwA Tanzania Bara
 
Hata majina ya wachezaji hayajui huyu bwege.
Mpira unaovutia sijui una tafsiri vipi wewe bwege !
Game ilikuwa nzuri mpira ni mkubwa tu ulitaka uone watu wanapiga danadana?
Wastan umeonekana 60/40%ulitaka yanga wasiguse mpira kabisa yaani 90/10% na hizo 10%ni za kiokotea mipira wavuni?
Tafuta pa kupeleka mawazo yako ya kibwege

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpira mkubwa?akili za wengi zimedumaa majority nchini no exposure... na huu ndio mfano hai..ndio maana mkinusa pua nje mnapigwa 10-1 halafu unasema pana mpira mkubwa hapa..
Simba+Yanga +Ccm .....bila kutoka kwenye damu na akili zenu mtaburuzwa saaaaana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom