Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Yanga SC wakitaka kuepuka kipigo kizito kutoka kwa Mnyama Mkali Simba SC, hapo Mei 8, 2021, basi wafanye kama walivyofanya mashabiki wa Manchester United na kusababisha game yao na Liverpool kutochezwa.
Wanavamia Uwanja wa Mkapa na viunga vyake na kuandamana kulazimisha wadhamini wao kampuni ya GSM apewe timu moja kwa moja, huku wakipinga adhabu ya Makamu M/Kiti Mwakalebela.
Kutokana na hali hiyo itapelekea mchezo wa Simba SC na Yanga SC kutochezwa hivyo kuahirishwa.
Vinginevyo Simba SC wamejipanga na kujiandaa vilivyo na wanakusudia kufanya mauaji zaidi ya yale ya Kimbari.
Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana.
Wanavamia Uwanja wa Mkapa na viunga vyake na kuandamana kulazimisha wadhamini wao kampuni ya GSM apewe timu moja kwa moja, huku wakipinga adhabu ya Makamu M/Kiti Mwakalebela.
Kutokana na hali hiyo itapelekea mchezo wa Simba SC na Yanga SC kutochezwa hivyo kuahirishwa.
Vinginevyo Simba SC wamejipanga na kujiandaa vilivyo na wanakusudia kufanya mauaji zaidi ya yale ya Kimbari.
Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana.