MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Yanga SC mlitutangazia kuwa Hukumu ya CAS itatoka Mwezi March au May kama sijakosea na ikapigwa Kalenda.
Yanga SC mlitutangazia kuwa Hukumu ya CAS itatoka Mwezi July na ikapigwa tena Kalenda.
Yanga SC mlitutangazia tena kwa Mashamsham na Kujimwambafai Kwenu kuwa Hukumu itatoka leo ( Mwezi Septemba ) na CAS wameipiga Kalenda (Danadana) kama Kawaida.
Hivi Yanga SC ambao pia naamini ni Waswahili wenzangu hii Misemo Miwili isemayo Akufukuzae hakuambii toka au Dalili ya Mvua nyie hamuijui?
Ismail Aden Rage na Rais Mstaafu Kikwete na Wanasheria Nguli waliwaonya na Kuwaambia muachane nayo kwani hamna Chenu huko CAS na imewakalia vibaya mkawadharau sasa mtakumbuka Mawazo yao.
Yanga SC mlitutangazia kuwa Hukumu ya CAS itatoka Mwezi July na ikapigwa tena Kalenda.
Yanga SC mlitutangazia tena kwa Mashamsham na Kujimwambafai Kwenu kuwa Hukumu itatoka leo ( Mwezi Septemba ) na CAS wameipiga Kalenda (Danadana) kama Kawaida.
Hivi Yanga SC ambao pia naamini ni Waswahili wenzangu hii Misemo Miwili isemayo Akufukuzae hakuambii toka au Dalili ya Mvua nyie hamuijui?
Ismail Aden Rage na Rais Mstaafu Kikwete na Wanasheria Nguli waliwaonya na Kuwaambia muachane nayo kwani hamna Chenu huko CAS na imewakalia vibaya mkawadharau sasa mtakumbuka Mawazo yao.