GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,523
- 108,810
Kwa Kuanzia tu ni kwamba Daktari wa Timu ya Taifa ya Congo DR amewashangaa Yanga SC Kumsajili Beki Shabaan Djuma ambaye ni 'proin injury Player' wakati aliwashauri Wasimsajili.
Pili baada ya Kocha Nabi kurejea Likizoni sasa amezozana na Uongozi wa Yanga SC kwa Kumsajili Mshambuliajj Herritier Makambo ambaye Yeye ( Kocha Nabi ) hamkubali na hakumtaka.
Kazi ipo....!!!!
Pili baada ya Kocha Nabi kurejea Likizoni sasa amezozana na Uongozi wa Yanga SC kwa Kumsajili Mshambuliajj Herritier Makambo ambaye Yeye ( Kocha Nabi ) hamkubali na hakumtaka.
Kazi ipo....!!!!