Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
Kumbe na ww n mnyama
ARUSHA KWETU
Jr
Kumbe na ww n mnyama
ARUSHA KWETU
Kuna watu Ni wachawi
ARUSHA KWETU
There will be no penalty if:Dkk ya 33 mchezaji wa Yanga Japhary Mohamed ananawa mpira eneo la Hatari mwamuzi anapetta.
Kweli soka letu limekua.....
Hakuna uchawi mkuu,Adolf alipewa hela kupanga matokeoKuna watu Ni wachawi
ARUSHA KWETU
Si upeleke ushahidi ili sheria ichukuliwe na iwe funzo kwa wengine.Mkuu si uchawi nafahamu mchezo uliochezwa. Haya yote yalipangwa nje ya uwanja.
Peleka ushahidi ili hatua za kisheria ichukuliwe ili iwe funzo kwa wengine piaHakuna uchawi mkuu,Adolf alipewa hela kupanga matokeo
na kweli ikawa.TZ Prisons. Nawapa tahadhali.yanga inashinda bao si chini ya Mbili ama sivyo mbadilishe keeper na mabeki wale wawili. Wafungaji wa yanga wamepangwa wawe Molinga na mmoja ya wale wawili waliosajiliwa juz juz.
Hali hii itawaweka kwenye mori na kurudisha imani kwa GSM ambao watu walishaanza kuwaona kama ndo chanzo.
Nawaambia leo yanga inampiga TZ PRISONS SI CHINI YA BAO 2. Matokeo yapo tayari. Yang isiposhinda leo nipigwe Ban ya masaa 48.
na kweli ikawa.
Hamna rushwa hapo kabet kimtaa tu.Mpira wetu wa kibongo unakwama hapo tu kwenye masuala ya rushwa kwa wachezaji.
Ogopa sana teknolojiaUfundi wa Morison hata uwe na power bank 50 hufikii hata nusu