This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,903
- 4,979
Kuna kitu shabiki hamjui. Mlaumu kocha km timu haitengenezi nafasi za kufunga. Km wachezaji hawafungi unataka kocha aingie akacheze 😁Afadhari nimemuona Nabi, cedrick simuelewagi kabisa
Kuna kitu shabiki hamjui. Mlaumu kocha km timu haitengenezi nafasi za kufunga. Km wachezaji hawafungi unataka kocha aingie akacheze 😁Afadhari nimemuona Nabi, cedrick simuelewagi kabisa
inashangaza sana,sasa kama ile penati,goli alilokosa Mayele na Moloko,walitaka kocha afanyaje?Kuna kitu shabiki hamjui. Mlaumu kocha km timu haitengenezi nafasi za kufunga. Km wachezaji hawafungi unataka kocha aingie akacheze 😁
Dua la kuku
hivi gape ndio kitu gani?Gape la point 11 unafurahia na kuna kipindi gape lilipungua hadi point tano na simba akawa na mechi moja mkononi ili akishinda ziwe mbili ila gape likaongezeka hadi 10. Kuna muda gape lilifika point 7 ila likaongezeka tena hadi 10. Comfortably tunachukua ubingwa kwa gape la point 10
mistakes come once, not thrice as for your case, in one paragraphGap
Just common mistakes in English
Sawa........Hoja yako ni ipi labda ?mistakes come once, not thrice as for your case, in one paragraph
Hicho ndicho walicho bakizaSawa........Hoja yako ni ipi labda ?
Itakuwa sijajua dhumuni lako hasa
Yupo kwenye mood yake kwasasaHicho ndicho walicho bakiza