Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,321
- 115,321
Mi sielewi hata nguvu ya kutamba namna hii mnaitoa wapi aisee? 😎punguza hasira,sisi hatukupaisha penati
Mi sielewi hata nguvu ya kutamba namna hii mnaitoa wapi aisee? 😎punguza hasira,sisi hatukupaisha penati
😀😀 Hicho ndo lilichobakia kwao Mkuu.Nitabilie na mimi
Hivi na nyie huwa mnakosea? Waombeni mrudiane ili mshinde basi. 🤣🤣💃Simba alikosea sana kutoa droo na Polisi na Namungo. Zile ni droo za kujitakia
🤣🤣🤣🤣🤣 Hebu huko.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Atayeokota ule mpira unakuwa wa kwake
Salama yenu ni kutwaa ubingwa. Imagine gap la point 11 tunawapeleka mnakosa ujasiri 🤣Mi sielewi hata nguvu ya kutamba namna hii mnaitoa wapi aisee? 😎
🤣🤣🤣Hivi na nyie huwa mnakosea? Waombeni mrudiane ili mshinde basi. 🤣🤣💃
Mtachukua ubingwa ila sio kwa gape la points 10, hazitazidi 6.Gape la point 11 unafurahia na kuna kipindi gape lilipungua hadi point tano na simba akawa na mechi moja mkononi ili akishinda ziwe mbili ila gape likaongezeka hadi 10
Kuna muda gape lilifika point 7 ila likaongezeka tena hadi 10
Comfortably tunachukua ubingwa kwa gape la point 10
Ndiyo ipae vileee?🤣🤣🤣🤣🤣 Hebu huko.
Na hii ni kutokana na ubora Wa kila timu kwenye ligi.....kila timu kwasasa IPO Imara sanaMtachukua ubingwa ila sio kwa gape la points 10, hazitazidi 6.
Hakuna timu imara ukiondoa Simba & Yanga.Na hii ni kutokana na ubora Wa kila timu kwenye ligi.....kila timu kwasasa IPO Imara sana
Ni tofauti kabisa na Miaka ya nyuma
Umeshasahau zile alizokuwa Boko anapaisha.Ndiyo ipae vileee?
😂😂😂 Tatizo wenzetu mpo kwenye kutafuta cha kuwasahaulisha yanayoendelea kwenye msimamo sasa mkipata vitu kama hivi basi maji hayanyweki kwa jirani.Salama yenu ni kutwaa ubingwa. Imagine gap la point 11 tunawapeleka mnakosa ujasiri 🤣
Aya sawaHakuna timu imara ukiondoa Simba & Yanga.
mmeshinda njaaHapana kuwa na amani tunashinda
mmeshinda njaaHapana kuwa na amani tunashinda
Ni kweli mwananchi mwenzangu hata kesho atakuwepo 😁😁Nabi Yupo Leo Hakuna Matata