Sjaekuelewa unaongea nini au ndo shibe
Hii thread ya tatu anaanzisha, hata mpira hajui anatetea TFF.Sjaekuelewa unaongea nini au ndo shibe
Kwani hawakwenda uwanjani?Nasikia Yanga na Azam ilisogezwa mbele muda na Yanga walicheza
Nikasikia Yanga na biashara muda ulisogezwa na yanga walicheza
Hata jana ingekua Yanga na Ihefu Yanga wangecheza !!!Tatizo ni Simba !!!
Nina uhakika jana Yanga walikua wanajua nini kitawakuta
Usiwe mbwiga Azam na Biashara siyo Simba!
Yanga ilianza hata kabla ya baba yako hajazaliwa , Yanga itakuwepo wakati wewe umeenda zako, sote tumeikuta Yanga na tutaicha Yanga kama kawaida,yanga ni taasisi isiyo rasmi ndio ujue hivyo, waambie akina Karai na Machungwa waache ujinga.