Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
Simba SC wamepewa point tatu na kamati ya TFF na sasa Simba inaongoza kwa point 61. Je Yanga FC wakienda mahakamani ligi itasimama kama ilivyosimama Zanzibar kwa miezi sita?
My take:
Yanga FC nendeni mahakamani kama mna uhakika kuwa mmeonewa.
My take:
Yanga FC nendeni mahakamani kama mna uhakika kuwa mmeonewa.