Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
na hicho cha Mo Beto ni kitopuHayo ni magauni 😂
Wivu huo, hutaki mwenzio akakazwe na mo?Yaani Mo akitengeneza madela ya simba. Ataweka matangazo ya mo kama 50 hivi na zaidi. Na kuna MO-beto. Huyu mobeto naona kama anajilengesha kwa mwamedi.
Hapana mkuu acha MO-beto apelekewe MO-to.Wivu huo, hutaki mwenzio akakazwe na mo?
Unajua maana ya jezi?Kichwa cha habari kimesema jezi, sa mbona picha zinaonesha madera?
Ndio najua, we unajua?Unajua maana ya jezi?
Utopolo wabunifu sana. Unanunua gauni sijui dela hili unalikata kiunoni juu shati la baba chini unampa wife sketi. Umeokoa gharama
Yaani Mo akitengeneza madela ya simba. Ataweka matangazo ya mo kama 50 hivi na zaidi. Na kuna MO-beto. Huyu mobeto naona kama anajilengesha kwa mwamedi.
pia tofautisha jezi na kitopu cha MO betoTofautisha jezi na madela. Misukule mumechanganyikiwa mbaya,huyu Kapumbu kawakata stimu kinoma noma