YANGA NA SIMBA YAINGIZA SH. MILIONI 390/; A LYON na TOTO siku hiyo hiyo Dar SH.27,000 watu 9

Ingesaidia sana tasnia ya mpira wa miguu Kama Tunguweka kufanya fair postmortem ya mchezo waJana. Kuonesha night kiasi gani kimepatikana na jinsi kilivyogawanywa haisaidii sana. Ingesaidia Kama tutatoa changamoto jinsi yahoo kuongeza mapato Kwa timu kama Toto. TFF waamke waache mambo ya kizamani yahoo kutueleza idadi ya fedha iliyopatikana.
 
Hizi timu kubwa nazo tumbafu kabisa!

Wamekalia politick tu badala ya kutafuta wawekezaji wakawa na viwanja vyao wao wanaendelea kupiga porojo tu! Huu unyonyaji ungeisha kama Yanga na Simba wangekuwa na viwanja vyao wangeweza kupata mgawo mkubwa zaidi ya huu. Sasa tuwaache waendelee kuibiwa tumbafu kabisa!!! Wala wasilalamike hawa hiyo ndo stahili yao nyamb..fff!!
 
Staili hiyo mpira hauwezi kukua.

TFF badala ya kuzisaidia timu ndogo wanaishia kukomaa na mapato ya Simba na Yanga, hii ni aibu kubwa sana.

Mechi za uswahilini zile zamani Ikicheza Abajalo na Survey Rangers au Sinza Star kulikuwa na uhakika wa watu wasiopungua 2000 kuja kuangalia.

Ni lini watu 10,000 wataenda kuangalia Kagera Sugar Vs Toto Africa?
 
Back
Top Bottom