nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Hawa jamaa wana malalamiko hadi aibu, kila siku Karia Karia, angalia hata kwenye top scorers wa ligi hawapo hawana hata mchezaji mwenye goli 8,hawa watu wako serious kweli?
Jana kwenye under 20 offside ya wazi goli limekataliwa wanasema TFF na karia wanawaonea.
Kwenye ligi ya wanawake kule mwanza simba kashinda moja kawa bingwa huku wao wameshinda 6-0 za kimagumashi wanalalamikia kipa wa timu pinzani aliyemrukia teke mchezaji wa simba queens na kupewa kadi wakadai simba queens wanapendelewa.
Najaribu kujiuliza kama ule mtama aliopigwa konde boy kwenye penalty box mechi ya simba na alh alhy refa akapeta penalty au ule mkono beki wa kaizer chiefs alioshika kwenye penalty box ingekuwa ni hawa ndugu zangu sijui ingekuwaje, hata wachezaji wa simba wamekuwa very matured siku hizi hapo sisemei mitama miwili alioypigwa morrison ndani ya box kule sumbawanga vs prisons.
Jana kwenye under 20 offside ya wazi goli limekataliwa wanasema TFF na karia wanawaonea.
Kwenye ligi ya wanawake kule mwanza simba kashinda moja kawa bingwa huku wao wameshinda 6-0 za kimagumashi wanalalamikia kipa wa timu pinzani aliyemrukia teke mchezaji wa simba queens na kupewa kadi wakadai simba queens wanapendelewa.
Najaribu kujiuliza kama ule mtama aliopigwa konde boy kwenye penalty box mechi ya simba na alh alhy refa akapeta penalty au ule mkono beki wa kaizer chiefs alioshika kwenye penalty box ingekuwa ni hawa ndugu zangu sijui ingekuwaje, hata wachezaji wa simba wamekuwa very matured siku hizi hapo sisemei mitama miwili alioypigwa morrison ndani ya box kule sumbawanga vs prisons.