Yanga mnatia taifa aibu nie si wakufanya hivi

kuku mweus

JF-Expert Member
May 24, 2018
767
602
Habar wana Jf mimi huwa si mdau Wa kuandika humu ila kwa hili ngoja niseme Leo nikiwa katika pita pita zangu huku mkoani Iringa ghafla nakutana na Gari ya timu ya Yanga inaelekea maeneo ninayo ishi nikajiuliza Nini tatizo
Bahat nzuri nikaona walipofikia duuuu ama kwel njaa ni mbaya Yanga iliyokuwa ikilala hotel kubwa Leo ndo wamefikia lodge ya sh elfu 5 wapo hapa country side Lodge wanaomba chakula mpaka kwa wanafunzi Wa Tumaini chuo
Ama kwel njaa haina baunsa mnaomba chakula kwa wanafunzi isitoshe wanafunzi hao ni certificate na diploma bora wangekuwa degree wenye boom mlaaniwe
Na wanafunzi Wa Tumaini kuweni makini na hao omba omba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar wana Jf mimi huwa si mdau Wa kuandika humu ila kwa hili ngoja niseme Leo nikiwa katika pita pita zangu huku mkoani Iringa ghafla nakutana na Gari ya timu ya Yanga inaelekea maeneo ninayo ishi nikajiuliza Nini tatizo
Bahat nzuri nikaona walipofikia duuuu ama kwel njaa ni mbaya Yanga iliyokuwa ikilala hotel kubwa Leo ndo wamefikia lodge ya sh elfu 5 wapo hapa country side Lodge wanaomba chakula mpaka kwa wanafunzi Wa Tumaini chuo
Ama kwel njaa haina baunsa mnaomba chakula kwa wanafunzi isitoshe wanafunzi hao ni certificate na diploma bora wangekuwa degree wenye boom mlaaniwe
Na wanafunzi Wa Tumaini kuweni makini na hao omba omba

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni umama mwanaume umbea umbea tu utaja liwa jicho ohoo mjini hapa.
 
Habar wana Jf mimi huwa si mdau Wa kuandika humu ila kwa hili ngoja niseme Leo nikiwa katika pita pita zangu huku mkoani Iringa ghafla nakutana na Gari ya timu ya Yanga inaelekea maeneo ninayo ishi nikajiuliza Nini tatizo
Bahat nzuri nikaona walipofikia duuuu ama kwel njaa ni mbaya Yanga iliyokuwa ikilala hotel kubwa Leo ndo wamefikia lodge ya sh elfu 5 wapo hapa country side Lodge wanaomba chakula mpaka kwa wanafunzi Wa Tumaini chuo
Ama kwel njaa haina baunsa mnaomba chakula kwa wanafunzi isitoshe wanafunzi hao ni certificate na diploma bora wangekuwa degree wenye boom mlaaniwe
Na wanafunzi Wa Tumaini kuweni makini na hao omba omba

Sent using Jamii Forums mobile app
Mikia wanahitaji kuku weusi wengi kwa ajili ya kafara mechi dhidi ya Vita. Utawafaa sana.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom