Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,099
Yaani Aucho akiwa timu ya taifa ni mzima na anacheza tena kuna muda anavaa hadi kitambaa cha Unahodha.
Akiwa Yanga utasikia, Aucho anaumwa hivyo atakosa mechi kadhaa😂😂
Waambieni ukweli mashabiki wenu, kwanini hamtaki kumlipa Sheikh Aucho? Kupost video instagram na kusema anaumwa bila kumuonesha sura yake 😂😂😂huo ni Utopolo mwingine!!
Njooni mniue sasa kwamaana nshawaambia ukweli wenu, tukutane baadae Ilulu
Akiwa Yanga utasikia, Aucho anaumwa hivyo atakosa mechi kadhaa😂😂
Waambieni ukweli mashabiki wenu, kwanini hamtaki kumlipa Sheikh Aucho? Kupost video instagram na kusema anaumwa bila kumuonesha sura yake 😂😂😂huo ni Utopolo mwingine!!
Njooni mniue sasa kwamaana nshawaambia ukweli wenu, tukutane baadae Ilulu