changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,580
- 9,166
Yacouba lengo lake ilikuwa kuzuia Simba wasianzishe pigo la faulo la haraka.Ishu ya Onyango uliona ni nani aliyeamza kusukuma mwenzake lakini mkuu
Pale Yacouba ndio alianza kumsukuma karibu mara mbili Miquissone, Onyango ndio akakasirika akaenda kumsukuma Yacouba, na referee ameviona vitendo vyote ndio maana akaamua kukaushia tu