Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,690
- 20,451
Uongozi ni wa kuteuliwa au kuchaguliwa. Kama ukiona mtu ameajiriwa, basi huyo ni kwa ajili ya Management. Senzo ameajiriwa kwa ajili ya Management, sio uongozi. Anatakiwa awe amesoma darasani, sio ujanja ujanja wa kusema anaujua mpiraUongozi siyo management.
Ila management ni sehemu ya tu ya uongozi (administration).
Kwa hiyo kwa kuanzia tu, kimantiki hujaelewa alichosema uliyemnukuu.
Mimi nakubaliana na uliyemnukuu based on interview ya jana, jamaa wanaoneka ni weupe.