CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Kesho inatarajiwa benki ya NBC kutangazwa kama wadhamini rasmi wa ligi kuu ila tuambiane tu ukweli UTOPWINYO KESHO KINANUKA watakataa hiyo logo watasema Twiga mwekundu hawataki awe wa njano au kijani, ni majitu fulani yasiyoheshimu watu hata nembo za wenzao hawaheshimu nakumbuka last year wakiweka tangazo la graphics simba vs yanga basi logo ya simba wanatoa wekundu wanaweka kijani ,
Walishagombana hata na vodacom hawataki wadhamini watumie ile rangi nyekundu ya logo yao.... Imbeciles, dunderheads.
Walishagombana hata na vodacom hawataki wadhamini watumie ile rangi nyekundu ya logo yao.... Imbeciles, dunderheads.