OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,073
- 103,278
Uongozi wa Yanga umethibitisha kuwa utaendelea kuvaa nembo yenye vivutio vya utaliiya Visit Kilimanjaro & Zanzibar kwenye jezi zao upande wa mkono wa kushoto katika mechi zao za ndani.
.
Uongozi umesema kutokana na mechi hizo zinarushwa na Azam TV hivyo upo uwezekano wa kuonekana na watu wa mataifa ya nje na ikawa kivutio kwa Watalii.
Tutarajie kuwaona Yanga wakitumia jezi hizo katika mechi za Ligi Kuu, Kombe la ASFC, na Mapinduzi CUP.
My Take
Huko sio kuongeza idadi ya makorokoro kwenye jezi?