Yanga kuipoteza zaidi Simba leo

Kanali G

JF-Expert Member
Oct 21, 2013
9,902
14,377
Timu ya Yanga leo inashuka dimbani kuwavaa JKT Tanzania,katika mchezo huo Yanga wataingia kwa lengo la kuongeza tofauti ya points 7 dhidi ya watani wao wa jadi Simba ambao kesho wanatarajia kushuka dimbani nchini Nigeria na kupoteza kwa idadi kubwa ya mabao dhidi ya wapinzani wao Plateau katika ligi ya mabingwa Africa.
 
Timu ya Yanga leo inashuka dimbani kuwavaa JKT Tanzania,katika mchezo huo Yanga wataingia kwa lengo la kuongeza tofauti ya points 7 dhidi ya watani wao wa jadi Simba ambao kesho wanatarajia kushuka dimbani nchini Nigeria na kupoteza kwa idadi kubwa ya mabao dhidi ya wapinzani wao Plateau katika ligi ya mabingwa Africa.
 
Wakimataifa kesho wanaua 3 wamatopeni wanaongoza mnyama akiwa hayupo
 
Back
Top Bottom