Marygrayce
Member
- May 3, 2012
- 13
- 2
yaan naona simba waliwahurumia yanga tano bila c mchezo, yanga waache marumbano badala yake wajipange la sivyo watalia tena
hawa watu wanajiita baraza la wazee Yanga ni tatizo kubwa,ongeza na wapiga domo kibao wanaoshinda klabuni wakiitegemea klabu kula yao! baada ya kitendo cha uhuni kwa wachezaji wa Yanga kumpiga mwamuzi nilitarajia kusikia adhabu kali ikitolewa kwa wachezaji mabondia,lakini hakuna hatua iliyochukuliwa. baadaye nikatarajia wanachama wangekuja juu kuulazimisha uongozi uchukue hatua za nidhamu,ikawa kimya!!! kwa hiyo Yanga kuanzia uongozi,wachezaji na wanachama wajitafakari upya kabla mambo hayajaharibika zaidi. mpira wa kutegemea akina Manji na kununua ushindi hautawafikisha popote! anguko linaloikabili CCM naliona linainyemelea na Yanga!Laana ya wazee wa Yanga kuna mmoja alionyesha korodani zake ndo laana hiyo
Na hasa huyu mtoto wa Mkwerre kimbelembele chake pale Jangwani kinazidi kuchefuwa watu, kama ingekuwa kubadili Timu ni rahisi kwa kweli ningeachana kabisa na Yanga.Huu ndio ukweli!!! Tubadiri jezi ziwe chanikiwiti!
Wana JF hebu nifahamisheni kile kipigo cha Yanga jana dhidi ya mtani wake Simba je wana Yanga watakuwa wamejifunza nini, maana nimetafakari toka jana lakini sijapata jibu sahihi mpaka naleta maada hii:spy:
Kwani simba kukosa makombe ya tusker, kagame na ligi kuu mwaka jana simba walijifunza nini,. Mpira ndo ulivyo,. Bacelona walifunga real 6, man u kwa aseno 8, man city kwa man u 6,. Yanga itabaki mabingwa wa kihistori tanzania,. Subirini kagame muone,.
Mtanisamehe mashabiki wa Yanga hawana tofauti na wachama wa CCM. I mean they never learn anything from their mistakes
ni maneno yenye ukweli mchungu kwa wapenzi na mashabiki wa Yanga na hata Simba,ingawa kwa Yanga uswahili umezidi sana! utadhani hii klabu haina vijana wasomi na waelewa!Mtanisamehe mashabiki wa Yanga hawana tofauti na wachama wa CCM. I mean they never learn anything from their mistakes
Nimewaangalia kwenye Taarifa ya habari ya ITV jana usiku hao wanaoitwa eti wanachama wakereketwa wa Yanga kwa macho tu ukiwatizama unajuwa kabisa hapa mwenye Elimu kubwa ni darasa la saba, na ukiwascan vizuri mifukoni wote kwa ujumla wao unaweza usipate hata shilling laki moja, lakini kazi yao kubwa majungu na kelele tu.ni maneno yenye ukweli mchungu kwa wapenzi na mashabiki wa Yanga na hata Simba,ingawa kwa Yanga uswahili umezidi sana! utadhani hii klabu haina vijana wasomi na waelewa!
Wamejifunza kwamba Simba ya leo ya 5-0 ina huruma zaidi kuliko ile Simba ya 7-0 ya enzi zileee!