CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
Mabingwa wa soka wa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati, Yanga SC ya Tanzania wamealikwa kucheza mechi za kirafiki na vigogo wa Sudan ya Kaskazin, El Hilal na El Mereikh ktk ziara ya siku tano nchini Sudan Kaskazin, ambapo wataondoka nchini August 5 kuelekea Khartoum.
Na wakati huo huo utata wa mshambuliaji Hamis Kiiza unazikwa rasmi leo ambapo atatua nchini mchana wa leo tayari kuanza mazoezi
Kwa habari zaidi, soma HAPA
Na wakati huo huo utata wa mshambuliaji Hamis Kiiza unazikwa rasmi leo ambapo atatua nchini mchana wa leo tayari kuanza mazoezi
Kwa habari zaidi, soma HAPA