Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,723
Naona mashabiki wanachanganya mambo hapa juu ya suala la manzoki, Ukweli ni kwamba yanga wamekubali kuvunja mkataba wa manzoki na kulipa pesa ambayo vipers wanaitaka na hilo limejiri baada ya makamu wa Rais wa yanga kufanya mazungumzo na uongozi wa vipers pamoja na wakala wa mchezaji husika akiwa ziarani Uganda kwenye issue nyingine za kiofisi zaidi, tuelewe kwamba kutoa offer ni jambo moja na kukubaliwa offer ni jambo lingine.
Yanga anaweza kufanikiwa kumpata au anaweza pia asifanikiwe kumpata inategemea na klabu yenyewe inayommiliki, Simba wao walikataa kutoa pesa waliyoitaka vipers lakini na wao endapo watatoa pesa iyo wanaweza kupewa kipaumbele cha kwanza kwa kuwa ndio walioonyesha nia ya kwanza kumtaka, kwa maana iyo basi suala la manzoki bado liko wazi kwa vilabu vyote viwili ikiwa tu dau la dola laki 2 litawekwa mezani na si vingonevyo.
Yanga anaweza kufanikiwa kumpata au anaweza pia asifanikiwe kumpata inategemea na klabu yenyewe inayommiliki, Simba wao walikataa kutoa pesa waliyoitaka vipers lakini na wao endapo watatoa pesa iyo wanaweza kupewa kipaumbele cha kwanza kwa kuwa ndio walioonyesha nia ya kwanza kumtaka, kwa maana iyo basi suala la manzoki bado liko wazi kwa vilabu vyote viwili ikiwa tu dau la dola laki 2 litawekwa mezani na si vingonevyo.