Siyo mara ya kwanza yanga kuvuka hiyo hatuaYanga, huu ni mwaka wenu wa kuweka rekodi mpya Tanzania, mkishindwa kwenye hili kundi basi mtasubiri mwaka mingine kumi.
Vv
Siyo mara ya kwanza yanga kuvuka hiyo hatuaYanga, huu ni mwaka wenu wa kuweka rekodi mpya Tanzania, mkishindwa kwenye hili kundi basi mtasubiri mwaka mingine kumi.
Vv
Nafahamu hii ni mara ya pili. Nazungumzia kuweka rekodi ya kuingia last 8.Siyo mara ya kwanza yanga kuvuka hiyo hatua
Ingekuwa ni Premeir League fixture tungesema remote ya Malinzi bado haijaisha chaji. Lakini ni CAF Confederattions Cup, tumsingizie nani kama ni figisu?hii sijui ni bahat au kuna figisu ndani yake
kwani figisu zipo tz tu mkuu?? Kwenye ulimwengu wa mpira kila kona figisu zipo.Ingekuwa ni Premeir League fixture tungesema remote ya Malinzi bado haijaisha chaji. Lakini ni CAF Confederattions Cup, tumsingizie nani kama ni figisu?
Sawasawa. Ila kila figisu ina mhusika wake mkuu, hata kama ni wa kubuni. Sasa kwenye ‘kona’ hii tungeambiwa mhusika mkuu ni nani, ikizingatiwa kuwa Malinzi aliyezoeleka kuhusishwa na mafanikio ya Yanga yuko lupango na hii si TFF.kwani figisu zipo tz tu mkuu?? Kwenye ulimwengu wa mpira kila kona figisu zipo.
acha uchawi unajuwa Yanga akifanikiwa tutakuwa tunawakirishwa na timu tatu...naomba Simba msije uwanjanihatua za makundi hasira zetu tutawashushia nyieTimu za waarabu katika ubora wao. Huwa nawakubali mno hawa viumbe..hawanaga utani uwanjani. Yanga vichapo vinawahusu
Kimsingi na kimantiki, Timu zote zilizofika stage hii ni bora sana. Kwa hiyo tusijipe moyo sana tukasahau kufanya maandalizi ya uhakika. Watanzania wote hebu tushikamane Tuipe support timu yetu uwanjani na nje ya uwanjani. Tukumbuke Yanga ikifanya vizuri Katika mashindano haya, tunaongeza wigo wa ushiriki wa timu zetu kwenye mashindano haya mwaka ujao. N'a tukifanikiwa kwa Hilo, idadi ya timu shiriki kwenye mashindano y'a Caf toka tz itaongezeka. Tuwe pamoja sana.kwani figisu zipo tz tu mkuu?? Kwenye ulimwengu wa mpira kila kona figisu zipo.
Uko sahihi sisi tunavyoliona hili kundi ni mchekea hata wenzetu wanaona vivyo hivyo cha msingi tujipangeKimsingi na kimantiki, Timu zote zilizofika stage hii ni bora sana. Kwa hiyo tusijipe moyo sana tukasahau kufanya maandalizi ya uhakika. Watanzania wote hebu tushikamane Tuipe support timu yetu uwanjani na nje ya uwanjani. Tukumbuke Yanga ikifanya vizuri Katika mashindano haya, tunaongeza wigo wa ushiriki wa timu zetu kwenye mashindano haya mwaka ujao. N'a tukifanikiwa kwa Hilo, idadi ya timu shiriki kwenye mashindano y'a Caf toka tz itaongezeka. Tuwe pamoja sana.
Mikia endeleeni kukaririTimu za waarabu katika ubora wao. Huwa nawakubali mno hawa viumbe..hawanaga utani uwanjani. Yanga vichapo vinawahusu
Timu inayotolewa kamasi na Mbeya city pungufu ndiyo ije izoe point 12 za bure? Hicho kitu hakipo, lazima wjipange sawa sawa!!Nakubaliana na wewe mtani... Rayon sport plus Gor Mahia mna point 12 za bure hapo
acha uchawi unajuwa Yanga akifanikiwa tutakuwa tunawakirishwa na timu tatu...naomba Simba msije uwanjanihatua za makundi hasira zetu tutawashushia nyie