Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,725
- 18,620
Yanga imeifunga Club kutoka Tunisia ambayo inashiriki Kombe la Dunia mwaka huu, na ni timu ambayo inafanya vizuri sana AFCON, na timu za taifa kutoka nchi za kiarabu kama Egypt, Tunisia, Morroco, Algeria huwa zinaundwa na wachezaji kutoka ligi ya ndani. Tofauti kabisa na timu za taifa za nchi kama Nigeria, Cameroon, Ivory Coast ambao wanacheza Ulaya.
Wachezaji wengi wa Club Africain wanaunda kikosi cha Timu ya Taifa ya Tunisia inayoenda kushiriki Kombe la Dunia.
THINK ABOUT THAT!
Na hii ndiyo hufanya klabu za kutoka nchi za Kiarabu kuwa bora na kutawala michuano ya Klabu Bingwa Afrika tofauti na timu kutoka Ivory Coast au Nigeria.
Wachezaji wengi wa Club Africain wanaunda kikosi cha Timu ya Taifa ya Tunisia inayoenda kushiriki Kombe la Dunia.
THINK ABOUT THAT!
Na hii ndiyo hufanya klabu za kutoka nchi za Kiarabu kuwa bora na kutawala michuano ya Klabu Bingwa Afrika tofauti na timu kutoka Ivory Coast au Nigeria.