Yanga ilivyompiga USM Algiers 2-1 mwaka 2018 CAFCC, goli la Makambo na Kaseke

Gordian Anduru

JF-Expert Member
Apr 16, 2021
334
657
Hawa tumeingia nao fainali lakini tushawahi kucheza nao kitambo na tukawaua, mechi hiyo ilihuhduriwa na Mkuu wa majeshi na Manji, tena kipindi hicho Yanga ya kuunga unga mwana

 
Hawa tumeingia nao fainali lakini tushawahi kucheza nao kitambo na tukawaua, mechi hiyo ilihuhduriwa na Mkuu wa majeshi na Manji, tena kipindi hicho Yanga ya kuunga unga mwana

Hawa wakifungwa tena 2-1 kama mwaka huo basi ni hatari sana kwa Yanga
 
Utopolo mmeviiimba, siku sio nyingi mtaanza lakini tulifika fainali
 
Back
Top Bottom